GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Humprey Polepole tambua Rais anategemea taarifa sahihi toka kwenu lakini wewe unamdaganya na kumsababishia kampeni kuwa ngumu kwake sana.
Mimi ni mwana CCM na sihami CCM, Ni dhahiri Humphrey Polepole anamuhujumu Magufuli kwa ushauri wake mbovu na wa kizamani enzi za ukoloni.
Polepole anafikiria mambo ya kizamani sana wakati yeye ni kijana ambaye ilibidi amwambie Rais kuwa wananchi wanataka pesa na maisha yao yameyumba
Polepole alishauri watu wa upinzani kuhamia CCM,Hii plan imeshindwa vibaya sana
Polepole ameigawa CCM pande mbili CCM mpya na CCM asilia huku akimshauri Rais kuwaadhibu CCM asilia sasa yupo yupo tu
Polepole sasa ameanza kuongea matusi kwenye television mbele za watoto wetu sebuleni anatudhalilisha watu wazima. Anashindwa kujibu hoja kabisa.
Kikwete aliwateua Nape na Makamba kwa ajili ya propaganda kujibu hoja za Dkt Slaa.
Nape na Kinana wakati wa mambo ya ufisadi waliwakana wezi wote na kuongea ukweli.
Humprey polepole ni wa kuwa nae makini sana wakati huu ni ndumilakuwili na hafai.
.
Kwa kuwa Nape yupo na January yupo ni muda wa kuwatumia kujibu hoja.
Ni wakati wa Rais Magufuli umuulize polepole kwa kipindi chake amefanya kitu gani kwa chama,kwanini wananchi wanaunga mkono upinzani wakati alituaminisha upinzani umekufa?
Amechanganyikiwa sasa anaanza kutukana matusi,Huyu anachochea fujo ni wakati wa ccm kukubali polepole hana ushawishi wa kukiunganisha chama
Mimi ni mwana CCM na sihami CCM, Ni dhahiri Humphrey Polepole anamuhujumu Magufuli kwa ushauri wake mbovu na wa kizamani enzi za ukoloni.
Polepole anafikiria mambo ya kizamani sana wakati yeye ni kijana ambaye ilibidi amwambie Rais kuwa wananchi wanataka pesa na maisha yao yameyumba
Polepole alishauri watu wa upinzani kuhamia CCM,Hii plan imeshindwa vibaya sana
Polepole ameigawa CCM pande mbili CCM mpya na CCM asilia huku akimshauri Rais kuwaadhibu CCM asilia sasa yupo yupo tu
Polepole sasa ameanza kuongea matusi kwenye television mbele za watoto wetu sebuleni anatudhalilisha watu wazima. Anashindwa kujibu hoja kabisa.
Kikwete aliwateua Nape na Makamba kwa ajili ya propaganda kujibu hoja za Dkt Slaa.
Nape na Kinana wakati wa mambo ya ufisadi waliwakana wezi wote na kuongea ukweli.
Humprey polepole ni wa kuwa nae makini sana wakati huu ni ndumilakuwili na hafai.
.
Kwa kuwa Nape yupo na January yupo ni muda wa kuwatumia kujibu hoja.
Ni wakati wa Rais Magufuli umuulize polepole kwa kipindi chake amefanya kitu gani kwa chama,kwanini wananchi wanaunga mkono upinzani wakati alituaminisha upinzani umekufa?
Amechanganyikiwa sasa anaanza kutukana matusi,Huyu anachochea fujo ni wakati wa ccm kukubali polepole hana ushawishi wa kukiunganisha chama