BAVARIAN
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 222
- 168
Hawa vjana wa Lumumba kumbe ziro kweli,,,Vyama vya upinzani ndio vinatucheleshea maendeleo hapa Nchini
Hawa vjana wa Lumumba kumbe ziro kweli,,,Vyama vya upinzani ndio vinatucheleshea maendeleo hapa Nchini
Mpwa mbona unatutenga.Good analysis, wenye vyeti tu ndio watakaoelewa.
Swali langu lingekuwa hilo hilo. Watu walipishwe kodi kwa kutembea au? Maana kodi zote wamelipisha ndo wamepata hizo trilioni 12Wanalipa kodi kwa biashara zipi? Unaua biashara halafu utegemee kukusanya kodi kutoka wapi? Tuna rais wa hovyo sana
Jibu hojaVyama vya upinzani ndio vinatucheleshea maendeleo hapa Nchini
Ndugu yangu naona hukuelewa lengo la mtoa mada na kama umemuelewa basi una tatizo fulani. Alicholenga mtoa mada sio upinzani wa vyama bali ni UPINZANI WA FIKRA/MTIZAMO ambapo yapo kila sehemu hata magogoni mkuu.Rais afutilie mbali upinzani.
Nimepata msemo mpya ,lipumba ni shemeji wa Lumumba.umeongea ukweli, sema vijana wa team magu watakusurubu
kwanza. umemsema vibaya boss wao hujamsifia
pili. umeeleza mambo magumu kuelewa team lumumba (shemeji zake lipumba)

Ni kweli Ila wengi wao ni machingaaaaTanzania tunao uwezo wa kukusanya hizo trillion 19 kama watu watalipa kodi....hivi hujui wanaolipa kodi hata milioni 4 hawafiki wakati Watanzania tuko Zaidi ya milioni 50?
Hapa yametolewa mawazo mbadala unatokwa na povu namna hiyo je ingekuwa ni vitendo si ndio ungechomoa smg kàbisa na sio kale kalichoonyeshwa yule Waziri wa zamani wa Habari Sanaa na Michezo??Huyu nae anajiita mchambuzi.. Analysis yako iko biased. Haina upande wa pili. Hivyo unafaa kupuuzwa tu kama unafanyia siasa hadi kwenye maendeleo.
Matatizo ya Tanzania hayawezi isha hadi siku ya mwisho. Magufuli ni mpya kwenye serikali. Unaposema amekusanya tr 12 ubalinganisha na nini? Ningekuona wa maana kama ungelinganisha ni mwaka 2015/16 n 2014/2015 hapo ndo utaona kama tunapiga hatua.
Unaposema kapeleka 2.2 bil kwenye kilimo..umeona nini kimeganyika huko?
Maana unaweza ukapeleka tr1 na bado ikaishia mwenye mifuko ya wachache..tunataka utwambie pembejeo zimefika kwa wakulima ama la?
Unaposema tuwaangukie wazungu hapo ndo nakuona hamnazo kabisa. Lazima tufunge mkanda. Hatuwezi kwenda kukopa hela kwa ajili ya kununua mboga nyumbani. Maendeleo lazima mjipime kwanza. Mi nakushangaa sana sijui mawazo mengine yanatoka wapi. Nazani umeandika ukiwa chooni.
Mbona hujataja mambo mengine ya maingi aliyofanya magufuli?
Hakuna mtu anayeweza kufurahia kufa kwa upinzani lambda hajielewi. Mimi huwa sipendi kuita upinzani napenda kuita vyama mbadala..upinzania ni kujiweka kwenye kundi la kupinga kila jambo linalofanywa na serikali liwe jema ama baya..sasa inabidi tujue nini umuhimu wa vyama hivi?
Kama viongozi wa vyama vya upinzani wanamawazo kama yako basi hatuna vyama hapo..bora vife vije vipya kabisa.
Watu wenye kutoa analysis kama yako ni wa kupuuzwa haswa.
Mwambie atoe tamko kuwa amefuta basi, si hapangiwi cha kufanya yeye?Vyama vya upinzani ndio vinatucheleshea maendeleo hapa Nchini
Unakosea bwana sio wenye vyeti tu!Good analysis, wenye vyeti tu ndio watakaoelewa.
Hapa yametolewa mawazo mbadala unatokwa na povu namna hiyo je ingekuwa ni vitendo si ndio ugechomoa smg kàbisa na sio kale kalichoonyeshwa yule Waziri wa zamani wa Habari Sanaa na Michezo??

Nimependa kwakuwa umeandika kizungu na ukatupia tafsili yake ,kwa mtindo huo lazima atakuelewa tu kuliko ungeacha kizungu pekee.
mkuu kwamba mheshimiwa hajui kizungu? It can't beWakati Nyerere anaiongoza(anaitawala) Tanzania, Tanzania ilikuwa na chama kimoja tu. Je unajua hali ya uchumi ilikuwaje wakati Nyerere alipoamua yaishe na kung'atuka?Vyama vya upinzani ndio vinatucheleshea maendeleo hapa Nchini