Lucy Joseph
Member
- Sep 20, 2020
- 47
- 31
Hebu peleka ujinga wako, lissu amekuwa wa kwanza kunadi vurugu, na kwa uwezo wa mungu tarehe 28 tutashinda na amani itaendelea kutawala....Aliyeongoza mashambulizi ya Lisu, kuuawa Azory, Ben etc ndiye anachochea fujo na wote wanamjua na juzi Lisu kamtaja wazi wazi
Chaguo langu ni Magufuli