Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli akemea wanasiasa wanaochochea fujo

...Danny Faure aliyeshindwa alizaliwa Uganda na kuhamia Seychelles akiwa mdogo . Licha ya yeye kuiletea Seychelles maendeleo lakini Wananch wameona apumzike na wamemshukuru...
 
Mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli amesema anataka kuongoza nchi kwa amani.

Amewataka watanzania kuwa makini na wanasiasa wanaowachochea wafanye fujo baada ya uchaguzi kwa kuwa pasipo na amani hakuna chochote kinachoweza kufanyika. Aliyasema hayo alipokuwa anafanya mkutano wa kampeni mjini Karatu.

Ndugu mtanzania, mpenda maendeleo, ili tudumishe Amani yetu tunahitaji kiongozi sahihi mwenye kujali maslahi ya Mtanzania na rasilimali zake, mwenye hofu ya mungu, muajibikaji na mtekelezaji.

Tafadhali tuungane pamoja Jumatano Oktoba 28, Tukapige kura na tukamchague Rais ambae ataendelea kusimamia na kuzitetea rasilimali zetu.

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, CHAGUO SAHIHI KWA WATANZANIA✅
Kuwashabikia wagombea na vyama vinavyohamasisha na kuchochea uvunjifu wa Amani ni uwendawazimu.
Nachelea kusema twenzetu na Magufuli.
Chagua CCM, Chagua Magufuli.
 
mzee mnafki sana huyu na keshokutwa nitamnyoosha
Mnafiki wewe na utajinyoosha mwenyewe, kwa maana sisi wengine tutampigia kura Magufuli na atashinda kwa uwezo wa Mungu, halafu utaumbuka wewe pale utakapoumwa na utaenda kutibiwa kwenye hospitali ya serikali.
 

Unaidharau Belgium........ inaweza kuilisha Tazania miaka 100 kila mtanzania anakuna laki kila siku!:D:D:D:D:D:D:D

Belgium is the sixth richest country in the world: this has been confirmed in the recent edition of the Allianz Global Wealth Report 2016. GDP per capita in Belgium is expected to reach 46000.00 USD by the end of 2020,​


GDP in Tanzania is expected to reach 50.00 USD Billion by the end of 2020

Belgium country profile​

Published2 October
Map of Belgium

For such a small country, Belgium has been a major European battleground over the centuries.
Occupied by Germany during the First and Second World Wars, it has experienced an economic boom in the past 50 years to become a model Western European liberal democracy.
However, there has also been a growing divide between the mainly Dutch-speaking north and the mainly French-speaking south, as well as concerns about the growth of Islamic extremism among immigrant communities in the capital, Brussels.
Brussels is the headquarters of the European Union and the North Atlantic Treaty Organisation (Nato), making it the polyglot home of an army of international diplomats and civil servants.

Key facts - Kingdom of Belgium​

Capital: Brussels​

  • Population 11.5 million
  • Area 30,528 sq km
  • Major languages Dutch, French
  • Life expectancy 79 years (men), 84 years (women)
  • Currency euro
  • Major religion Christianity
UN, World Bank
Fikra za kiboya kabisa hizi, yani unaacha kumsifia mzazi wako unaenda kusifia mzazi wa watu wengine kwa hoja za kiboya kabisa. Nenda ubelgiji ukaolewe sasa
 
KURA ZA UBUNGE NA URAISI ZITASAFIRISHWA KWENDA KUHESABIWA JIMBONI, HAZITAHESABIWA KWENYE VITUO VYA KUPIGIA KURA

KURA ZA UDIWANI ZITASAFIRISHWA KWENDA KUHESABIWA MAKAO MAKUU YA KATA (KATANI)

WAPINZANI HAMPATI KITU.

KUWENI MAKINI
Kama imeamriwa hivyo ni hatari. Safari mpaka jimboni masanduku yamebadirishwa tayari. Chezea CCM wewe!
 
Mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli amesema anataka kuongoza nchi kwa amani.

Amewataka watanzania kuwa makini na wanasiasa wanaowachochea wafanye fujo baada ya uchaguzi kwa kuwa pasipo na amani hakuna chochote kinachoweza kufanyika. Aliyasema hayo alipokuwa anafanya mkutano wa kampeni mjini Karatu.

Ndugu mtanzania, mpenda maendeleo, ili tudumishe Amani yetu tunahitaji kiongozi sahihi mwenye kujali maslahi ya Mtanzania na rasilimali zake, mwenye hofu ya mungu, muajibikaji na mtekelezaji.

Tafadhali tuungane pamoja Jumatano Oktoba 28, Tukapige kura na tukamchague Rais ambae ataendelea kusimamia na kuzitetea rasilimali zetu.

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, CHAGUO SAHIHI KWA WATANZANIA
Toka mbwa
 
Mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli amesema anataka kuongoza nchi kwa amani.

Amewataka watanzania kuwa makini na wanasiasa wanaowachochea wafanye fujo baada ya uchaguzi kwa kuwa pasipo na amani hakuna chochote kinachoweza kufanyika. Aliyasema hayo alipokuwa anafanya mkutano wa kampeni mjini Karatu.

Ndugu mtanzania, mpenda maendeleo, ili tudumishe Amani yetu tunahitaji kiongozi sahihi mwenye kujali maslahi ya Mtanzania na rasilimali zake, mwenye hofu ya mungu, muajibikaji na mtekelezaji.

Tafadhali tuungane pamoja Jumatano Oktoba 28, Tukapige kura na tukamchague Rais ambae ataendelea kusimamia na kuzitetea rasilimali zetu.

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, CHAGUO SAHIHI KWA WATANZANIA
HAKIka nami naungana na muandishi kua hakuna haja kabisa ya sisi watanzania kurubuniwa kuharibu amani ya nchi yetu,lakini pia bado tuna mengi ya kufanya
IMG-20201102-WA0015.jpg
 
Back
Top Bottom