Tutaelewana tu
Looo akili ni nywele kweli nimeaminiAongoze nchi kwa kufuata misingi ya Haki sawa kwa wote, Amani itakuja yenyewe
Tanzania imebaki kuwa nchi ya amani miongoni mwa nchi zilizowahi kutawaliwa na wakoloniAkitenda HAKI hamna vurugu yoyote itakayo tokea.
Haki gani unayoitaka wewe ya kuwa shoga au msagaji? Au hujui maana ya haki?Aongoze nchi kwa kufuata misingi ya Haki sawa kwa wote, Amani itakuja yenyewe
Kuwashabikia wagombea na vyama vinavyohamasisha na kuchochea uvunjifu wa Amani ni uwendawazimu.Mgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli amesema anataka kuongoza nchi kwa amani.
Amewataka watanzania kuwa makini na wanasiasa wanaowachochea wafanye fujo baada ya uchaguzi kwa kuwa pasipo na amani hakuna chochote kinachoweza kufanyika. Aliyasema hayo alipokuwa anafanya mkutano wa kampeni mjini Karatu.
Ndugu mtanzania, mpenda maendeleo, ili tudumishe Amani yetu tunahitaji kiongozi sahihi mwenye kujali maslahi ya Mtanzania na rasilimali zake, mwenye hofu ya mungu, muajibikaji na mtekelezaji.
Tafadhali tuungane pamoja Jumatano Oktoba 28, Tukapige kura na tukamchague Rais ambae ataendelea kusimamia na kuzitetea rasilimali zetu.
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, CHAGUO SAHIHI KWA WATANZANIA✅
Magufuli 5 tenaTanzania imebaki kuwa nchi ya amani miongoni mwa nchi zilizowahi kutawaliwa na wakoloni
Na imekuwa kimbilio la majirani zetu.
na kweli kila mtu anazakeLooo akili ni nywele kweli nimeamini
Mnafiki wewe na utajinyoosha mwenyewe, kwa maana sisi wengine tutampigia kura Magufuli na atashinda kwa uwezo wa Mungu, halafu utaumbuka wewe pale utakapoumwa na utaenda kutibiwa kwenye hospitali ya serikali.mzee mnafki sana huyu na keshokutwa nitamnyoosha
Fikra za kiboya kabisa hizi, yani unaacha kumsifia mzazi wako unaenda kusifia mzazi wa watu wengine kwa hoja za kiboya kabisa. Nenda ubelgiji ukaolewe sasaUnaidharau Belgium........ inaweza kuilisha Tazania miaka 100 kila mtanzania anakuna laki kila siku!
Belgium is the sixth richest country in the world: this has been confirmed in the recent edition of the Allianz Global Wealth Report 2016. GDP per capita in Belgium is expected to reach 46000.00 USD by the end of 2020,
GDP in Tanzania is expected to reach 50.00 USD Billion by the end of 2020
Belgium country profile
Published2 October
For such a small country, Belgium has been a major European battleground over the centuries.
Occupied by Germany during the First and Second World Wars, it has experienced an economic boom in the past 50 years to become a model Western European liberal democracy.
However, there has also been a growing divide between the mainly Dutch-speaking north and the mainly French-speaking south, as well as concerns about the growth of Islamic extremism among immigrant communities in the capital, Brussels.
Brussels is the headquarters of the European Union and the North Atlantic Treaty Organisation (Nato), making it the polyglot home of an army of international diplomats and civil servants.
- See more country profiles - Profiles compiled by BBC Monitoring
Key facts - Kingdom of Belgium
Capital: Brussels
UN, World Bank
- Population 11.5 million
- Area 30,528 sq km
- Major languages Dutch, French
- Life expectancy 79 years (men), 84 years (women)
- Currency euro
- Major religion Christianity
Kama imeamriwa hivyo ni hatari. Safari mpaka jimboni masanduku yamebadirishwa tayari. Chezea CCM wewe!KURA ZA UBUNGE NA URAISI ZITASAFIRISHWA KWENDA KUHESABIWA JIMBONI, HAZITAHESABIWA KWENYE VITUO VYA KUPIGIA KURA
KURA ZA UDIWANI ZITASAFIRISHWA KWENDA KUHESABIWA MAKAO MAKUU YA KATA (KATANI)
WAPINZANI HAMPATI KITU.
KUWENI MAKINI
Toka mbwaMgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli amesema anataka kuongoza nchi kwa amani.
Amewataka watanzania kuwa makini na wanasiasa wanaowachochea wafanye fujo baada ya uchaguzi kwa kuwa pasipo na amani hakuna chochote kinachoweza kufanyika. Aliyasema hayo alipokuwa anafanya mkutano wa kampeni mjini Karatu.
Ndugu mtanzania, mpenda maendeleo, ili tudumishe Amani yetu tunahitaji kiongozi sahihi mwenye kujali maslahi ya Mtanzania na rasilimali zake, mwenye hofu ya mungu, muajibikaji na mtekelezaji.
Tafadhali tuungane pamoja Jumatano Oktoba 28, Tukapige kura na tukamchague Rais ambae ataendelea kusimamia na kuzitetea rasilimali zetu.
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, CHAGUO SAHIHI KWA WATANZANIA
sawa nyangumiToka mbwa
HAKIka nami naungana na muandishi kua hakuna haja kabisa ya sisi watanzania kurubuniwa kuharibu amani ya nchi yetu,lakini pia bado tuna mengi ya kufanyaMgombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli amesema anataka kuongoza nchi kwa amani.
Amewataka watanzania kuwa makini na wanasiasa wanaowachochea wafanye fujo baada ya uchaguzi kwa kuwa pasipo na amani hakuna chochote kinachoweza kufanyika. Aliyasema hayo alipokuwa anafanya mkutano wa kampeni mjini Karatu.
Ndugu mtanzania, mpenda maendeleo, ili tudumishe Amani yetu tunahitaji kiongozi sahihi mwenye kujali maslahi ya Mtanzania na rasilimali zake, mwenye hofu ya mungu, muajibikaji na mtekelezaji.
Tafadhali tuungane pamoja Jumatano Oktoba 28, Tukapige kura na tukamchague Rais ambae ataendelea kusimamia na kuzitetea rasilimali zetu.
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, CHAGUO SAHIHI KWA WATANZANIA