B BEHOLD JF-Expert Member Nov 17, 2013 5,056 10,721 Mar 6, 2016 #1 Kwa majipu yote yaliyoota mbaya/nyeti mwilini, Mheshimiwa magufuli anayatumbua kwa style ya "WATAPANGIWA KAZI NYINGINE"! My take; Mheshimiwa Raisi aache double standard. Wembe ulionyolea JUMA basi huohuo na kwa kiwango kilekile umnyolee JOHN!
Kwa majipu yote yaliyoota mbaya/nyeti mwilini, Mheshimiwa magufuli anayatumbua kwa style ya "WATAPANGIWA KAZI NYINGINE"! My take; Mheshimiwa Raisi aache double standard. Wembe ulionyolea JUMA basi huohuo na kwa kiwango kilekile umnyolee JOHN!
N nkongu ndasu JF-Expert Member Jan 19, 2013 22,532 6,624 Mar 6, 2016 #3 haa haa nasubiri siku akitumbua chenge na makamba....