Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

Trust None

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2018
Posts
1,260
Reaction score
4,421
Ninachofahamu ni alisoma Moshi Tech kipindi hiko kisha kusoma FTC pale DIT then degree UDSM.

Chamuriho alikuja kuwa lecturer katika Department ya Structural engineering pale Udsm Coet, Kabla ya kuja kuwa Permanent Secretary wa Wizara ya Ujenzi.

I'm Honoured nilikuwa naye Mlimani August 2020 tukabadilishana mawili matatu.

Shortly: Anapenda sana Shule.
 
Aliwahi kuwa Mkufunzi Chuo kikuu cha DSM (CoeT) baadaye mtendaji Mkuu wa Baraza la Ujenzi la Taifa.

Mwaka 2016 aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu Mawasiliano iliyoko Wizara ya Ujenzi. Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 aliteuliwa kuwa Mbunge na hatimaye Waziri wa Ujenzi.

Inaonekana wana mahusiano mazuri ya kikazi na Mhe. JPM

Ni mwenyeji wa Mkoa wa Mara
 
Ni muhimu kusimamia haki, yule mama alifurahi kabisa tukiporwa ushindi na aliona haki ikipokwa. Kwa kejeli alitutamkia kuwa hata tukipiga kura kule ni sawa na kumwaga sukari Ziwa Victoria, wao ndiyo wataunda serikali.

Sasa serikali iliyoundwa bila haki inataka kumpoka haki yake.
 
Back
Top Bottom