Dkt. Hoseah: Hakuna ubaya kudai Katiba

Ndiyo maana yake Mkuu.
Siwaelewi Hawa watu wanaposema eti wanaotaka katiba mpya ni wanasiasa hasa wa upinzani na sio wananchi Sasa swali langu kwao hicho kipimo Cha wananchi wanakipimaje? Wanataka itokee Nini ndio waseme Sasa wananchi wameamua? Au wananchi wafanye maandamano nchi nzima ndio watakubali kwamba Sasa wananchi wameamua wanataka katiba? Hebu nisaidieni nyie mnaowaelewa.
 
Ni wapuuzi tu Mkuu. Kama Watanzania wangekuwa hawaitaki Katiba Mpya basi wasingeshiriki katika zoezi la kukusanya maoni ya katiba mpya kupitia Tume ya Warioba ambayo maoni hayo yalizaa Rasimu ya Tume ya Warioba.
Siwaelewi Hawa watu wanaposema eti wanaotaka katiba mpya ni wanasiasa hasa wa upinzani na sio wananchi Sasa swali langu kwao hicho kipimo Cha wananchi wanakipimaje? Wanataka itokee Nini ndio waseme Sasa wananchi wameamua? Au wananchi wafanye maandamano nchi nzima ndio watakubali kwamba Sasa wananchi wameamua wanataka katiba? Hebu nisaidieni nyie mnaowaelewa.
 
Siwaelewi Hawa watu wanaposema eti wanaotaka katiba mpya ni wanasiasa hasa wa upinzani na sio wananchi Sasa swali langu kwao hicho kipimo Cha wananchi wanakipimaje? Wanataka itokee Nini ndio waseme Sasa wananchi wameamua? Au wananchi wafanye maandamano nchi nzima ndio watakubali kwamba Sasa wananchi wameamua wanataka katiba? Hebu nisaidieni nyie mnaowaelewa.
Kweli tup
 
Utapimaje kipimo Cha maamuzi ya wananchi? Je ni mpaka waingie barabarani ndio mseme Sasa wananchi wameamua?

mmetoa wap mandate ya kuongea kwa niaba ya wananchi? nyie kama nani nchi hii? jimbo gan, mkoa gan wameshapeleka malalamiko ya katiba kwa viongozi wao?
 
AYtRZo.jpg
 
MAKUBWA ALIYOYAFANYA EDWARD HOSEA, AKIWA RAIS WA TLS KWENYE KIPINDI CHA MWAKA MMOJA

1 - AMELETA BIMA YA GHARAMA NAFUU KWA MAWAKILI WASOMI, AMBAYO KILA MMOJA ANAWEZA KUIMUDU.

- KABLA YA HOSEA GHARAMA YA BIMA ILIKUA NI MILIONI 1.5 BAADA YA HOSEA KUINGIA KWENYE UONGOZI GHARAMA YA BIMA IMEKUA LAKI 5.

2 - AMESAIDIA MAWAKILI WENYE ULEMAVU KUPEWA KIPAUMBELE MAHAKAMANI.

3 - AMESAIDIA KUANZISHWA KWA JUKWAA LA MAWAKILI VIJANA.

4 - AMEPUNGUZA TOZO ZA WANASHERIA KUTOKA SHILINGI ELFU 60 HADI ELFU 20

5 - AMETOA MAFUNZO YA BURE KWA MAWAKILI WASOMI KUPITIA USHIRIKIANO WA CHAMA CHA MAWAKILI CHA AFRIKA MASHARIKI

6 - AMEKUA MTETEZI MKUBWA WA MAWAKILI HAKUNA WAKILI ALIYEFUNGIWA KWA KOSA LOLOTE KWENYE KIPINDI CHAKE CHA UONGOZI

7 - AMEIMARISHA MAHUSIANO YA TLS NA SERIKALI, BUNGE NA MAHAKAMA.

#HoseaTenaAnatosha
IMG-20220502-WA0005.jpg
 
Back
Top Bottom