SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
tambo za uchumi wa kati amezizika KikweteMagufuli hana neno juu ya hilo, wasaidizi wake ndio wanapotosha..
Magufuli anajua target ya 2025.
Shule inaporish akili ya kuzaliwa na makuzi na malezi ya utotoni otherwise ni zeroNi PhD holder inasemekana.
Kubali au kataa, Kikwete hakumtendea haki Magufuli!!!! Unafiki wa Kikwete utaleta matatizo mbeleni. Hayo alitakiwa kumweleza wakiwa chemba si mbele ya kadamnasi. Rules za uongozi zinakataza vitu kama hivyo na uliona JPM alivyolowa.
Wewe acha hizo, namfahamu vilivyo Nzee ya NsogaJK alikuwa hansemi Magu bali alikuwa anatambua kazi nzito akiyoifanya Mkapa
Huwa ni nyodo na majigambo ya kutaka sifa tu mkuuSasa haya maneno kuwa watangulizi hawakufanya kitu kikubwa kuliko rais wa sasa yanatoka wapi?
Ukweli huwa hausemwi chumbani, unasemwa hadharani.Kubali au kataa, Kikwete hakumtendea haki Magufuli!!!! Unafiki wa Kikwete utaleta matatizo mbeleni. Hayo alitakiwa kumweleza wakiwa chemba si mbele ya kadamnasi. Rules za uongozi zinakataza vitu kama hivyo na uliona JPM alivyolowa.
Katafute wewe PhD yako kama unaona Ni rahisi kupatikanaAlipewa na nani hiyo PHD, tuandamane amnyang'anye
Huwa ni nyodo na majigambo ya kutaka sifa tu mkuu
Huyu Dr Abbas ni takataka kabisa. Wala msipoteze muda wa kujibishana nae.
Hivi unaanze kujibishana na Jakaya Mrisho Kikwete??? Rais mstaafu aliyeishika nchi na kuiendesha kwa miaka 10???? Wewe nani na una nini cha kumshinda kikwete hadi umjibu????
Ndugu zangu, huyu Dr Abbas tumpuuze kama wapuuzi wengine tu!
Ni mganga fulani wa kienyeji toka Tanga asiyekuwa na leseni, akabahatika kuwa msemaji wa serikali.Wewe nani na una nini cha kumshinda kikwete hadi umjibu????
Kwa nini asipuuzwe??? Kwanza Awamu hii vyeo havitolewi kwa misingi ya merit. Vinatolewa kwa kuangalia uwezo wako wa kuuza sura kwenye media na kumsifu na kumuabudu Jiwe. Full stopMsemaji wa serikali apuuzwe kirahisirahisi tu? halafu hii mitandao haifai kabisa
Hata mume wako akiwa na kibamia unamsema jukwaani? Acha mihemko wewe mamaUkweli huwa hausemwi chumbani, unasemwa hadharani.