imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 47,349
- 72,502
Magufuli alikuwa ni Interehamwe wa Kihutu.Magufuli hakuwa msukuma, ni mtu aliyelowea toka Burundi
Magufuli alikuwa ni Interehamwe wa Kihutu.Magufuli hakuwa msukuma, ni mtu aliyelowea toka Burundi
Mama hajakimbilia ila wenye kabila lao wamempa wenyewe u-chief. Makabila mengine wakipendezwa pia hawajakatazwa.Ukiacha Sukuma gang makundi mengine ya CCM ni yapi?
Alafu kwanini mama amekimbilia mapema kuwa Chief Hangaya wa wasukuma akaacha kuwa Chief kwenye makabila mengine?
Unapenda chuki weweee khaaaaàNaona Diallo kajibu swali kisiasa na si kiuhalisia.
Dialo tuna mfahamu kwa kuwa ni straight talker, na si wengine tunamfahamu tok akiwa kijana.
Kwanza lazima Dialo akubali kueleza kuwa Magufuli hakuwa msukuma, ni mtu aliyelowea toka Burundi huko , na ana historia ya ukimbizi.
Pili, Ili kupata backing ya kisiasa, Magufuli amewatumia sana wasukuma na jina la wasukuma ili aptae mizizi ya kisiasa.
Hilo halina ubishi.
Tatu, Sukuma gang si lazima mtu awe msukuma.
Sukuma Gang ni wale wafuasi wa karibu wa Magufuli, wengine abao wala si wasukuma kama kina kalemani, Doto n.k.
Sukuma ganag is a political coinage ya wafuasi wa Magufuli, wengi wao wanaotoka kanda ya ziwa.
Lkini Mbaya zaidi Sukuma Gang vile vile ni kielelezo cha UKABILA ambao Magufuli alifanikiwa kuujenga, kwa kuteua watu waliokaribu naye na wa kwao.
Mama hajakimbilia ila wenye kabila lao wamempa wenyewe u-chief. Makabila mengine wakipendezwa pia hawajakatazwa.
Halafu ni Mdosi.....!!Huyu diallo...
Kadri anavyo zeeka ndo akili zinakua chache.
Mwanamke na uchifu, wapi na wapi!!
Bora hawa kuliko wanojadili issue za Diamond,harmonize, kajala, Amber Rutty n.kAkija mgeni anaweza kudhani tumeshamaliza matatizo yetu yote..., ndio maana tunajikita kwenye issue nonsensical na petty...
Waulize waliompa, binafsi nachojua Mama kapewa heshima ya uchifu wa Wasukuma na kama kiongozi wa nchi na mwanasiasa asingeweza kukataa, hiyo ni karata muhimu kuelekea 2025.Huo uchief una faida gani kwanza!?
Acheni kumuonea Mama S.Huo uchief una faida gani kwanza!?
... hakuomba; alipewa! Swali, kwanini usukumani waliwahi kumpa uchifu kuliko makabila mengine?Ukiacha Sukuma gang makundi mengine ya CCM ni yapi?
Alafu kwanini mama amekimbilia mapema kuwa Chief Hangaya wa wasukuma akaacha kuwa Chief kwenye makabila mengine?
Mkuu naomba tu ukubali kuwa wewe ni mzaramo na Samia ni chifu wako. wewe siyo msukuma ila umekariri.Mwadera baba
Diallo ni jina la watu wa Guinea, Niger, na SenegalDiallo sio jina kisukuma, akueleze ukweli aliliyoa wapi.
Yeye Diallo hajatokea Senegali kweli?Naona Diallo kajibu swali kisiasa na si kiuhalisia.
Dialo tuna mfahamu kwa kuwa ni straight talker, na si wengine tunamfahamu tok akiwa kijana.
Kwanza lazima Dialo akubali kueleza kuwa Magufuli hakuwa msukuma, ni mtu aliyelowea toka Burundi huko , na ana historia ya ukimbizi.
Pili, Ili kupata backing ya kisiasa, Magufuli amewatumia sana wasukuma na jina la wasukuma ili aptae mizizi ya kisiasa.
Hilo halina ubishi.
Tatu, Sukuma gang si lazima mtu awe msukuma.
Sukuma Gang ni wale wafuasi wa karibu wa Magufuli, wengine abao wala si wasukuma kama kina kalemani, Doto n.k.
Sukuma ganag is a political coinage ya wafuasi wa Magufuli, wengi wao wanaotoka kanda ya ziwa.
Lkini Mbaya zaidi Sukuma Gang vile vile ni kielelezo cha UKABILA ambao Magufuli alifanikiwa kuujenga, kwa kuteua watu waliokaribu naye na wa kwao.
Hayo mazungumzo pia yana wakati wake na watu baada ya mihangaiko ya siku wanahitaji ku-refresh basi sio vibaya kupoza akili kwa vitu laini laini...., hila sio hawa wenye nafasi au waliokuwa na nafasi kubwa ya kupanga na kutengeneza policy za nchi..., sitegemei nchi yenye matatizo ya kutosha wajikite kwenye vitu laini laini..., hivyo wangevihifadhi mpaka hapo baadae (watuachie sisi kitaa baada ya kumaliza kazi zetu za kulipa tozo/kodi) - tumeshatimiza wajibu wetu, wao ndio wanatuangusha....Bora hawa kuliko wanojadili issue za Diamond,harmonize, kajala, Amber Rutty n.k
Acha wivu wa kishambaChifu tangu lini akawa mama? Mambo mengine ni ushabiki wa kisiasa tu
Nakataa bwasheeWasukuma Og ni wale wa Bariadi na Bariadi ipo Shinyanga. Dr. Diallo muongo ndiyo maana awamu ya 5 alipigwa vitasa