tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,484
ok, kwa hiyo shirika likiwa na wafanya kazi asilimia 80 wa dini inayofanana hapo kutakuwa na udini ?Ya kutosha ni ipi? Kukataa nssf kwamba hapana matatizo ya udini wew utakuwa mgonjwa. Asilimia 80 pale wafanyakazi ni waislamu. Kesho fika nssf kinondoni hapo anzia kwa receptionist hadi yule wa juu utaona ni dini gani. Jipu lile tena limeoza sana
Hata wew nakushangaa ulikosaje. Huenda ilishindikana kabisa kubebwa kutokana na uwezo wako mdogo kabisa. Lakini Hamad Hassan Mohammed Lipilapila hawezi kukosa kazi. I doubt with your capacityok, kwa hiyo shirika likiwa na wafanya kazi asilimia 80 wa dini inayofanana hapo kutakuwa na udini ?
mbona haujajibu hoja ?Hata wew nakushangaa ulikosaje. Huenda ilishindikana kabisa kubebwa kutokana na uwezo wako mdogo kabisa. Lakini Hamad Hassan Mohammed Lipilapila hawezi kukosa kazi. I doubt with your capacity
Naona umeshiba porc!Firauni wewe na family yako ukweli utabaki pale pale . nyeupe ni nyeupe haiwezi kuwa nyeusi
Nyeupe ni nyeupe kama kanzu na nyeusi ni nyeusi kama hijab, acheni kulalamika, kapigeni kitabu.Waislamu wanajua haki zao na kuzipigania kadiri wawezavyo .Si wanafiki wasiporidika wanasema bila kuongopa.Wakristu wanafiki wasiporidhika husemea chini ya meza.Utawala ulipopita kulikuwa na ulalamishi mkubwa kwenye teuzi mbali mbali na wengi walidai waislam wamekuwa wakipendelewa lakini Hakuna aliyepinga kwenye gazeti si la dini wala la ki jamii.Utakuta wanalalamika lalamika kwa chini chini.Kwa waislam nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi.Kwa hili huwa nawapongeza Sana.
Waislamu wanajua haki zao na kuzipigania kadiri wawezavyo .Si wanafiki wasiporidika wanasema bila kuongopa.Wakristu wanafiki wasiporidhika husemea chini ya meza.Utawala ulipopita kulikuwa na ulalamishi mkubwa kwenye teuzi mbali mbali na wengi walidai waislam wamekuwa wakipendelewa lakini Hakuna aliyepinga kwenye gazeti si la dini wala la ki jamii.Utakuta wanalalamika lalamika kwa chini chini.Kwa waislam nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi.Kwa hili huwa nawapongeza Sana.
Teuzi zote za Jk zilikuwa zinajadiliwa humu kidini, wacheni watu waseme ukweli, awamu hii ni awamu imejaa ukabila na udini uliopitiliza'
Mkiambiwa mle NGURUWE MWONGEZEE UFAHAMU AMTAKIView attachment 324013 View attachment 324014
Leo magazeti mawili ya "IMAAN" na "AL-HUDA" yamekuja na vichwa vya habari vinavyomuhusu aliyekuwa DG wa NSSF Dkt.Ramadhan Dau kuwa anaonewa na kufitinshwa kwa kuondolewa kwenye sherika hilo la hifadhi ya Jamii wakati alikuwa amebakia miaka michache tu astaafu.
Gazeti hilo linasema licha ya uteuzi wa Dr Dau kuelezwa kuwa una tija kwa Taifa na kuimarisha uhusiano wa Tz na nchi za nje,lkn umedunisha uwakilishi wa Waislamu katika utendaji wa serikali hapa nchini.
"Tumezidi kuisha serikalini,wengine wanapelekwa nje ya nchi.Sisi ni wengi katika wale wanaoitwa majipu,lkn katika wanaoteuliwa kama si wachache basi hatumo kabisa,ukichunguza ni kama huu utumbuaji majipu unatulenga sisi" ..limeandika Gazeti la Al-Huds likimnukuu Bwana Haji mfanyakazi wa serikali.
"Dr Dau angemalizia tu kipindi chake,ameitoa mbali toka NPF iliyokuwa taabani mpaka NSSF yenye miradi lukuki,ilikuwa apewe shirika au taasisi nyingine ya kuongoza hapa nchini ili awajibike kama alivyowajibika NSSF".Gazeti hilo limedai kama kumtumia kidiplomasia basi angetumiwa baada ya kustaafu lkn sio kumuondoa sasa,nafasi ambayo itakuwa ngumu kwa mtu mwingine kuziba pengo la Dr Dau,gazeti linaendelea kusema kuwa teuzi hiyo ni chuki dhidi ya imani fulani na kuwepo na hali ya kuimarisha mfumo ili imani fulani iendelee kuwa katika sehemu ya maamuzi.
"Aliikuta NPF iliyotegemewa makato yasiyodaiwa ya "cane carters" ambao walikuwa wafanyakazi wa muda wa viwanda vya sukari vikiwemo vikampuni na taasisi za watu binafsi,chini ya Dr Dau shirika lilifanikiwa kuwa na miradi mikubwa kama daraja la kisasa la Kigamboni,mradi wa makazi katika eneo la Dege Beach huko Kigamboni,mradi wa nyumba za Kiluvya,mradi wa nyumba za makazi za Mtoni Kijichi,Mradi wa kituo cha Michezo kwa Ushirikiano na Club ya Real Madrid na pia NSSF ilishiriki ktk ujenzi wa Chuo Kikuu Dodoma.Kutokana na ufanisi huu Rais Mkapa aliwahi mtunuku cheti cha usimamizi na utendaji bora ktk kipindi cha uongozi wake wa shirika hilo