luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,261
- Thread starter
- #141
Naona roho inakuuma kimoyomoyo unatamani angekuwa dkt ndaki au mabula
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona roho inakuuma kimoyomoyo unatamani angekuwa dkt ndaki au mabula
Ni kizazi Cha elimu,aghalabu ktk mkoa wa kilimanjaro kila familia Ina msomi
Mungu mkubwaHalafu vyote kajaaliwa na Maulana! Uzuri wa sura na taaluma yenye heshima!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwann mkuu? Hao ni madaktari professionnelle kabisa hadi ukabidhiwe cheti ujue wamechujwaHongera kwake! But imagine ndo unatatizo la kupasuliwa ubongo au uti wa mgongo... utakubali kupasuliwa na madaktari wetu wa hapa bongo kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
teh teh teh
Sisi tunaongelea hao wanawake madaktari wachache waliotajwa kwenye huu Uzi. Na kwa taarifa tu ni kwamba wanatokea Kaskazini Ile kanda pendwa na ........Kaskazini mikoa yake unajulikana ila hao wanatokea mikoa miwili Ile inayopendwa zaidi na ...... hahahahaaa. Huwa mikoa miwili hii huongoza kitaifa kitaaluma pia na usafi. Makofi pwapwapwapwapwa shemeji zangu. Tunawapongeza pia hao madokta wengine wachache wa rare proffession.Hakuna uhusiano wa professionalism na Ukabila
Wapo waliohitimu hiyo fani wala sio Wachaga
HahahahaHongera zake sana, tatizo kubwa sana naona ukanda unaanza kulitafuna taifa.
Pamoja Sana shemSisi tunaongelea hao wanawake madaktari wachache waliotajwa kwenye huu Uzi. Na kwa taarifa tu ni kwamba wanatokea Kaskazini Ile kanda pendwa na ........Kaskazini mikoa yake unajulikana ila hao wanatokea mikoa miwili Ile inayopendwa zaidi na ...... hahahahaaa. Huwa mikoa miwili hii huongoza kitaifa kitaaluma pia na usafi. Makofi pwapwapwapwapwa shemeji zangu. Tunawapongeza pia hao madokta wengine wachache wa rare proffession.
Naona roho inakuuma kimoyomoyo unatamani angekuwa dkt ndaki au mabula
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni ukabila nyinyi kaskazini ndio kitu gani ila nyerere hakukosea kuwa watu wa kaskazini wasipewe nchiHilo halikwepeki inafahamika wazi kilimanjaro na kaskazini ilivyo kinara wa elimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanda zote akuna wenye akili kama kasikazini vinara wote wapo Kilimanjaro ata wewe sifia Kanda yako napapenda Kilimanjaro eneo tulilozaliwa genius wa hii nchi tumekamilika kila hidara
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna sehemu isiyo na mwizi njoo na hoja nyingine mvivu mkubwa weweOngereni sana wa kaskazini lakini mmesahau sifa moja tu ya kuongoza kwa wizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumekwambia tuna shida na nchi?Acheni ukabila nyinyi kaskazini ndio kitu gani ila nyerere hakukosea kuwa watu wa kaskazini wasipewe nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaota ndoto mkuuHao madaktari tunao bwerere huku kwenye eneo linaloitwa sukumaland. Endelea kujitekenya
Sent using Jamii Forums mobile app