Dkt. Chuwa: Tanzania wanawake wanaishi muda mrefu kuliko wanaume

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,114
49,840
IMG_8917.jpeg


Umri wa kuishi Mtanzania sasa ni wastani wa miaka 65.5 wakiongoza wanawake kwa kuishi miaka 69 na wanaume miaka 62. Na hii inafahamika wanawake sisi kibailojia tumezaliwa hivyo, Mungu katupendelea kidogo kwa sababu na sisi tunabeba watoto matumboni na kazi zetu sio ngumu kama za akina baba.” - Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dkt. Albina Chuwa

===

Tumepiga hatua sana kutoka wastani wa miaka 55 hadi kufikia miaka 65 ni jambo la kupongezwa.

Ila wanaume wenzangu ukipata kazi nafuu fanya achana na kazi ngumu na za kuhatarisha maisha yako kama hakuna ulazima, hiyo ndio Siri ya kuishi miaka Mingi kama Wanawake.

Kingine karibu kuwa stress free kadiri inavyowezekana.

Ni hayo tuu.
 
Majukumu yakizidi lazima udanchi mapema ...Bora kuishi kama wazungu wengi ndio maana unasikia sijui mchezaji wa zamani kafariki akiwa na miaka 80 na kitu bado tunashuhudia malegend kibao wakina sir alex ferguso ,wenger, Rambo ,Anorld na wengine wakiwa hao katika umri mkubwa zaidi hata Maradona na pele wameishi sana mpaka kufa.

Tupunguze majukumu 👉kuwa na maisha ya kawaida balance na idadi ya watoto isifike hatua unakopa kwa ajili ya kusomesha na kuhudumia familia ,kama unakopa iwe biashara na maendeleo.

Nafsi inayoishi kwa matatizo na shida hapa duniani ni nafsi ambayo haitaki kuishi mda mrefu ...Tuishi maisha simple yaliyokuwa na furaha.
 
View attachment 2795665

Umri wa kuishi Mtanzania sasa ni wastani wa miaka 65.5 wakiongoza wanawake kwa kuishi miaka 69 na wanaume miaka 62. Na hii inafahamika wanawake sisi kibailojia tumezaliwa hivyo, Mungu katupendelea kidogo kwa sababu na sisi tunabeba watoto matumboni na kazi zetu sio ngumu kama za akina baba.” - Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dkt. Albina Chuwa

===

Tumepiga hatua sana kutoka wastani wa miaka 55 hadi kufikia miaka 65 ni jambo la kupongezwa.

Ila wanaume wenzangu ukipata kazi nafuu fanya achana na kazi ngumu na za kuhatarisha maisha yako kama hakuna ulazima, hiyo ndio Siri ya kuishi miaka Mingi kama Wanawake.

Kingine karibu kuwa stress free kadiri inavyowezekana.

Ni hayo tuu.
Swala la wanawake kuishi mda mrefu ni nature na Iko hivyo Dunia nzima.
 
Hili nature i-balance, majike lazima wawe wengi.... Hivyo hivyo hata kwa wanyama, madume ni wachache majike ni wengi


Kitaalam: mwanaume anamwaga mbegu zenye chromosome aina mbili yani X na Y, wakati mwanamke yeye anatoa chromosome za aina moja tu ya X... Ambapo X ndio utawala zaidi kuliko Y...
 
Back
Top Bottom