Goguryeo
JF-Expert Member
- May 17, 2019
- 2,503
- 4,502
Yanaongelewa mengi nasikia sikia.🙌Songea kuna wachawi sana
wananzengo wanasema kama jamaa ndo alikua bega Kwa bega mpaka mdogo wake anafariki ,akaja na marehem toka dsm mpaka huku yeye mwenyew kuja mzika ,hiyo presha sijui mshtuko si angeupata huko huko aje aupate dakika za mwisho huku.
Okay ..nilisikia huyo mdogo wake alifariki ghafla Kwa kuanguka tu.