Uongozi wa Chuo Kikuu Ardhi umetangaza msiba wa Mhadhiri wake katika skuli ya Earth Sciences, Real Estate, Business and Informatics (SERBI), Dkt. Job Asheri Chaula kilichotokea leo katika hospitali kuu ya Taifa Muhimbili.
Dkt. Chaula ni mume wa mwimbaji wa nyimbo za Injili Jenifer Mgendi ambaye walifunga ndoa mwaka 1998 na kubarikiwa kupata watoto watatu (Jotham, Jeftah na Joan)
Dkt. Chaula ni mume wa mwimbaji wa nyimbo za Injili Jenifer Mgendi ambaye walifunga ndoa mwaka 1998 na kubarikiwa kupata watoto watatu (Jotham, Jeftah na Joan)