Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
yaani ukipewa ubunge wa viti maalumu ni heshima kubwa sana maana ni hela ambazo huwezi kugawana na wananchi wakoUkiwa mwanasiasa kuna sehemu ya akili hupungua, yaani Dr. Bashiru anashukuru kutimuliwa kazi na kupewa Ubunge wa Viti Maalum...!!!