unaota, wla hueleweki.. nani kajimilikisha nyumba?Nyumba za ccm ulizokuwa umejimilikisha zinakutoa roho!! Huyo ndo bashiru mfia nchi. Jimilikisheni tena! Lkn mjue kuna mwamba mwingine huko mbeleni atakuja na atapita na account zenu kwa kujilipia mapesa kwa mali isiyo yako. Mbaya zaidi utakuwa umeishakuwa kibabu na wajukuu zako watajuta kuwa babu yao.