Dkt. Bashiru Ally kuwa tena Katibu Mkuu wa CCM?

Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.

Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!

Historia inaonyesha Rashid Kawawa aliwahi kushika nafasi ya juu kabisa katika serikali lakini baadaye akaja kushushwa mpaka kwenye nafasi ya waziri asiye na wizara maalum katika utawala wa Mwalimu Nyerere. Fikiria Makamu wa Rais ambaye pia ni Waziri Mkuu anajikuta amekuwa waziri tu!

Najua kuna baadhi ya watu wasiokuwa na uelewa mpana wa kile kilichokuwa kikiendelea walikuwa wakimcheka Rashid Kawawa alipokuwa anashushwa kwenye vyeo.

Watu waliokuwa wakimcheka Rashid Kawawa hawana tofauti na wale wa sasa waliomcheka na wanaendelea kumcheka Dkt. Bashiru Ally bila kujua kinachoendelea ndani ya CCM!

Kikao cha Mkutano Mkuu wa CCM kinachoenda kukutana Mwezi mwishoni mwa mwezi huu au ujao kinaenda kutoa majibu ya uhakika kuhusu sababu ya Dr. Bashiru Ally kurudishwa tena CCM kama Katibu Mkuu wa CCM Taifa!

Ninajua kuna kundi la baadhi ya wanaCCM ambao fagio la uhakiki wa mali za CCM na safisha CCM liliwakumba kwa sasa wanafanya kazi kuhakikisha Dkt. Bashiru asirudi tena CCM kama Katibu Mkuu lakini Wazee wa CCM ambao ni Makamu Mwenyekiti wa CCM wa Bara na yule wa visiwani wamekubaliana na uamuzi wa Mwenyekiti ajaye wa CCM Taifa wa kulipeleka jina la Dkt. Bashiru katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ili likathibitishwe kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa.

Kuna watu watakuja na hoja wakisema, atakuwaje Katibu Mkuu wa CCM wakati ni Mbunge na kwa nini alipewa Ubunge? Jibu la swali hili lilishatolewa kwenye uteuzi wa Dkt. Abdallah Saleh Possi, Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani ambaye alikuwa mbunge wa kuteuliwa kabla hajateuliwa kuwa Balozi. Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu wa CCM itabidi ajiuzulu Ubunge wake kama alivyofanya Dkt. Possi.

Kwa wasiojua, Dkt. Bashiru asingeondolewa kwenye nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi na kubaki mitaani bila sehemu ya ''kumuingizia kipato'' wakati akisubiri wenye CCM kumthibitisha! Njia iliyotumika ni kumpa ''ajira'' ya muda mfupi ambayo inajulikana kisheria ili kusubiri Mkutano Mkuu wa CCM na Kikao cha NEC ya CCM.

Kuna msemo usemao, Anayelia mwanzoni, mwisho hucheka kwa furaha na anayecheka mwanzoni, mwisho hulia!
Wake up.
Baahiru keshamwagwa.
Yeye na Polepolr sasa hivi wanaionea power kwenye kioo
 
Kwa namna alivyotolewa kwenye uKMK, ningeshangaa sana kupewa uKM wa CCM chini ya mwenyekiti Samia!

JPM ni Samia na Samia ni JPM (...mama "msanii" sana!)

"Kazi inaendelea......"
 
Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.

Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!

Historia inaonyesha Rashid Kawawa aliwahi kushika nafasi ya juu kabisa katika serikali lakini baadaye akaja kushushwa mpaka kwenye nafasi ya waziri asiye na wizara maalum katika utawala wa Mwalimu Nyerere. Fikiria Makamu wa Rais ambaye pia ni Waziri Mkuu anajikuta amekuwa waziri tu!

Najua kuna baadhi ya watu wasiokuwa na uelewa mpana wa kile kilichokuwa kikiendelea walikuwa wakimcheka Rashid Kawawa alipokuwa anashushwa kwenye vyeo.

Watu waliokuwa wakimcheka Rashid Kawawa hawana tofauti na wale wa sasa waliomcheka na wanaendelea kumcheka Dkt. Bashiru Ally bila kujua kinachoendelea ndani ya CCM!

Kikao cha Mkutano Mkuu wa CCM kinachoenda kukutana Mwezi mwishoni mwa mwezi huu au ujao kinaenda kutoa majibu ya uhakika kuhusu sababu ya Dr. Bashiru Ally kurudishwa tena CCM kama Katibu Mkuu wa CCM Taifa!

Ninajua kuna kundi la baadhi ya wanaCCM ambao fagio la uhakiki wa mali za CCM na safisha CCM liliwakumba kwa sasa wanafanya kazi kuhakikisha Dkt. Bashiru asirudi tena CCM kama Katibu Mkuu lakini Wazee wa CCM ambao ni Makamu Mwenyekiti wa CCM wa Bara na yule wa visiwani wamekubaliana na uamuzi wa Mwenyekiti ajaye wa CCM Taifa wa kulipeleka jina la Dkt. Bashiru katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ili likathibitishwe kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa.

Kuna watu watakuja na hoja wakisema, atakuwaje Katibu Mkuu wa CCM wakati ni Mbunge na kwa nini alipewa Ubunge? Jibu la swali hili lilishatolewa kwenye uteuzi wa Dkt. Abdallah Saleh Possi, Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani ambaye alikuwa mbunge wa kuteuliwa kabla hajateuliwa kuwa Balozi. Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu wa CCM itabidi ajiuzulu Ubunge wake kama alivyofanya Dkt. Possi.

Kwa wasiojua, Dkt. Bashiru asingeondolewa kwenye nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi na kubaki mitaani bila sehemu ya ''kumuingizia kipato'' wakati akisubiri wenye CCM kumthibitisha! Njia iliyotumika ni kumpa ''ajira'' ya muda mfupi ambayo inajulikana kisheria ili kusubiri Mkutano Mkuu wa CCM na Kikao cha NEC ya CCM.

Kuna msemo usemao, Anayelia mwanzoni, mwisho hucheka kwa furaha na anayecheka mwanzoni, mwisho hulia!
Kwi Kwi Kwi , Chawa Chawani ! 😆😆
 
Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.

Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!

Historia inaonyesha Rashid Kawawa aliwahi kushika nafasi ya juu kabisa katika serikali lakini baadaye akaja kushushwa mpaka kwenye nafasi ya waziri asiye na wizara maalum katika utawala wa Mwalimu Nyerere. Fikiria Makamu wa Rais ambaye pia ni Waziri Mkuu anajikuta amekuwa waziri tu!

Najua kuna baadhi ya watu wasiokuwa na uelewa mpana wa kile kilichokuwa kikiendelea walikuwa wakimcheka Rashid Kawawa alipokuwa anashushwa kwenye vyeo.

Watu waliokuwa wakimcheka Rashid Kawawa hawana tofauti na wale wa sasa waliomcheka na wanaendelea kumcheka Dkt. Bashiru Ally bila kujua kinachoendelea ndani ya CCM!

Kikao cha Mkutano Mkuu wa CCM kinachoenda kukutana Mwezi mwishoni mwa mwezi huu au ujao kinaenda kutoa majibu ya uhakika kuhusu sababu ya Dr. Bashiru Ally kurudishwa tena CCM kama Katibu Mkuu wa CCM Taifa!

Ninajua kuna kundi la baadhi ya wanaCCM ambao fagio la uhakiki wa mali za CCM na safisha CCM liliwakumba kwa sasa wanafanya kazi kuhakikisha Dkt. Bashiru asirudi tena CCM kama Katibu Mkuu lakini Wazee wa CCM ambao ni Makamu Mwenyekiti wa CCM wa Bara na yule wa visiwani wamekubaliana na uamuzi wa Mwenyekiti ajaye wa CCM Taifa wa kulipeleka jina la Dkt. Bashiru katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ili likathibitishwe kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa.

Kuna watu watakuja na hoja wakisema, atakuwaje Katibu Mkuu wa CCM wakati ni Mbunge na kwa nini alipewa Ubunge? Jibu la swali hili lilishatolewa kwenye uteuzi wa Dkt. Abdallah Saleh Possi, Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani ambaye alikuwa mbunge wa kuteuliwa kabla hajateuliwa kuwa Balozi. Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu wa CCM itabidi ajiuzulu Ubunge wake kama alivyofanya Dkt. Possi.

Kwa wasiojua, Dkt. Bashiru asingeondolewa kwenye nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi na kubaki mitaani bila sehemu ya ''kumuingizia kipato'' wakati akisubiri wenye CCM kumthibitisha! Njia iliyotumika ni kumpa ''ajira'' ya muda mfupi ambayo inajulikana kisheria ili kusubiri Mkutano Mkuu wa CCM na Kikao cha NEC ya CCM.

Kuna msemo usemao, Anayelia mwanzoni, mwisho hucheka kwa furaha na anayecheka mwanzoni, mwisho hulia!
Hongera sana Bashiru Amekuwa tena Katibu Mkui wa ccm
 
Nadhani neno ''efective'' ni pana sana.

Kwa kifupi ameibadilisha sana CCM katika utendaji wake lakini vilevile alihakikisha mapato ya CCM yanakusanywa vizuri kutoka kwenye vyanzo vyake ambavyo vingine vilikuwa vinaishia kwenye mikono ya baadhi ya viongozi ndani ya CCM.
Inawezekana hujui unachokiandika, Dr Bashiru ni mtu wa hovyo sana amewaletea dhiki matawini na katani, mapato yote yanakwenda CCM Taifa na hawa wenye chanzo cha mapato wanaachwa na dhiki wanashindwa kununuwa maji ya kunywa eakati wa vikao inabidi wageuke chawa wa viongozi wa kidols ili mambo yaende.
 
Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.

Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!

Historia inaonyesha Rashid Kawawa aliwahi kushika nafasi ya juu kabisa katika serikali lakini baadaye akaja kushushwa mpaka kwenye nafasi ya waziri asiye na wizara maalum katika utawala wa Mwalimu Nyerere. Fikiria Makamu wa Rais ambaye pia ni Waziri Mkuu anajikuta amekuwa waziri tu!

Najua kuna baadhi ya watu wasiokuwa na uelewa mpana wa kile kilichokuwa kikiendelea walikuwa wakimcheka Rashid Kawawa alipokuwa anashushwa kwenye vyeo.

Watu waliokuwa wakimcheka Rashid Kawawa hawana tofauti na wale wa sasa waliomcheka na wanaendelea kumcheka Dkt. Bashiru Ally bila kujua kinachoendelea ndani ya CCM!

Kikao cha Mkutano Mkuu wa CCM kinachoenda kukutana Mwezi mwishoni mwa mwezi huu au ujao kinaenda kutoa majibu ya uhakika kuhusu sababu ya Dr. Bashiru Ally kurudishwa tena CCM kama Katibu Mkuu wa CCM Taifa!

Ninajua kuna kundi la baadhi ya wanaCCM ambao fagio la uhakiki wa mali za CCM na safisha CCM liliwakumba kwa sasa wanafanya kazi kuhakikisha Dkt. Bashiru asirudi tena CCM kama Katibu Mkuu lakini Wazee wa CCM ambao ni Makamu Mwenyekiti wa CCM wa Bara na yule wa visiwani wamekubaliana na uamuzi wa Mwenyekiti ajaye wa CCM Taifa wa kulipeleka jina la Dkt. Bashiru katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ili likathibitishwe kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa.

Kuna watu watakuja na hoja wakisema, atakuwaje Katibu Mkuu wa CCM wakati ni Mbunge na kwa nini alipewa Ubunge? Jibu la swali hili lilishatolewa kwenye uteuzi wa Dkt. Abdallah Saleh Possi, Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani ambaye alikuwa mbunge wa kuteuliwa kabla hajateuliwa kuwa Balozi. Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu wa CCM itabidi ajiuzulu Ubunge wake kama alivyofanya Dkt. Possi.

Kwa wasiojua, Dkt. Bashiru asingeondolewa kwenye nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi na kubaki mitaani bila sehemu ya ''kumuingizia kipato'' wakati akisubiri wenye CCM kumthibitisha! Njia iliyotumika ni kumpa ''ajira'' ya muda mfupi ambayo inajulikana kisheria ili kusubiri Mkutano Mkuu wa CCM na Kikao cha NEC ya CCM.

Kuna msemo usemao, Anayelia mwanzoni, mwisho hucheka kwa furaha na anayecheka mwanzoni, mwisho hulia!
Ccm mnawaza ulaji tu hamna habari na maisha ya wananchi
 
Mnatulet
Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.

Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!

Historia inaonyesha Rashid Kawawa aliwahi kushika nafasi ya juu kabisa katika serikali lakini baadaye akaja kushushwa mpaka kwenye nafasi ya waziri asiye na wizara maalum katika utawala wa Mwalimu Nyerere. Fikiria Makamu wa Rais ambaye pia ni Waziri Mkuu anajikuta amekuwa waziri tu!

Najua kuna baadhi ya watu wasiokuwa na uelewa mpana wa kile kilichokuwa kikiendelea walikuwa wakimcheka Rashid Kawawa alipokuwa anashushwa kwenye vyeo.

Watu waliokuwa wakimcheka Rashid Kawawa hawana tofauti na wale wa sasa waliomcheka na wanaendelea kumcheka Dkt. Bashiru Ally bila kujua kinachoendelea ndani ya CCM!

Kikao cha Mkutano Mkuu wa CCM kinachoenda kukutana Mwezi mwishoni mwa mwezi huu au ujao kinaenda kutoa majibu ya uhakika kuhusu sababu ya Dr. Bashiru Ally kurudishwa tena CCM kama Katibu Mkuu wa CCM Taifa!

Ninajua kuna kundi la baadhi ya wanaCCM ambao fagio la uhakiki wa mali za CCM na safisha CCM liliwakumba kwa sasa wanafanya kazi kuhakikisha Dkt. Bashiru asirudi tena CCM kama Katibu Mkuu lakini Wazee wa CCM ambao ni Makamu Mwenyekiti wa CCM wa Bara na yule wa visiwani wamekubaliana na uamuzi wa Mwenyekiti ajaye wa CCM Taifa wa kulipeleka jina la Dkt. Bashiru katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ili likathibitishwe kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa.

Kuna watu watakuja na hoja wakisema, atakuwaje Katibu Mkuu wa CCM wakati ni Mbunge na kwa nini alipewa Ubunge? Jibu la swali hili lilishatolewa kwenye uteuzi wa Dkt. Abdallah Saleh Possi, Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani ambaye alikuwa mbunge wa kuteuliwa kabla hajateuliwa kuwa Balozi. Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu wa CCM itabidi ajiuzulu Ubunge wake kama alivyofanya Dkt. Possi.

Kwa wasiojua, Dkt. Bashiru asingeondolewa kwenye nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi na kubaki mitaani bila sehemu ya ''kumuingizia kipato'' wakati akisubiri wenye CCM kumthibitisha! Njia iliyotumika ni kumpa ''ajira'' ya muda mfupi ambayo inajulikana kisheria ili kusubiri Mkutano Mkuu wa CCM na Kikao cha NEC ya CCM.

Kuna msemo usemao, Anayelia mwanzoni, mwisho hucheka kwa furaha na anayecheka mwanzoni, mwisho hulia!
Mnatuwekea uzi mfu ili nini?
 
Inawezekana hujui unachokiandika, Dr Bashiru ni mtu wa hovyo sana amewaletea dhiki matawini na katani, mapato yote yanakwenda CCM Taifa na hawa wenye chanzo cha mapato wanaachwa na dhiki wanashindwa kununuwa maji ya kunywa eakati wa vikao inabidi wageuke chawa wa viongozi wa kidols ili mambo yaende.
Zikienda taifa si zinarudishwa kwa kila tawi na ndo utaratibu huo wa kucentralize mapato hata nchi inaendeshwa hivyo sio unakusanya hela za cha unazila hapo hao kwenye matawi .mbaya zaidi umekusanya 100 wew unasema nimekusanya 30 . 70 yote mfukoni mwako huo ndo utaratibu akina bulembo wanaupigania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zikienda taifa si zinarudishwa kwa kila tawi na ndo utaratibu huo wa kucentralize mapato hata nchi inaendeshwa hivyo sio unakusanya hela za cha unazila hapo hao kwenye matawi .mbaya zaidi umekusanya 100 wew unasema nimekusanya 30 . 70 yote mfukoni mwako huo ndo utaratibu akina bulembo wanaupigania

Sent using Jamii Forums mobile app
Hazirudi matawini, nakuhakikishia.
 
Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Harold Wilson aliwahi kusema, ''A week is a long time in politics''.

Katika historia ya Tanzania, Dkt. Bashiru Ally kama inavyododoswa kwa sasa kurudi tena kuwa Katibu Mkuu wa CCM atakuwa ni mmoja wa watanzania ambao utumishi wao wa umma unaweza kidogo kulinganishwa na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa!

Historia inaonyesha Rashid Kawawa aliwahi kushika nafasi ya juu kabisa katika serikali lakini baadaye akaja kushushwa mpaka kwenye nafasi ya waziri asiye na wizara maalum katika utawala wa Mwalimu Nyerere. Fikiria Makamu wa Rais ambaye pia ni Waziri Mkuu anajikuta amekuwa waziri tu!

Najua kuna baadhi ya watu wasiokuwa na uelewa mpana wa kile kilichokuwa kikiendelea walikuwa wakimcheka Rashid Kawawa alipokuwa anashushwa kwenye vyeo.

Watu waliokuwa wakimcheka Rashid Kawawa hawana tofauti na wale wa sasa waliomcheka na wanaendelea kumcheka Dkt. Bashiru Ally bila kujua kinachoendelea ndani ya CCM!

Kikao cha Mkutano Mkuu wa CCM kinachoenda kukutana Mwezi mwishoni mwa mwezi huu au ujao kinaenda kutoa majibu ya uhakika kuhusu sababu ya Dr. Bashiru Ally kurudishwa tena CCM kama Katibu Mkuu wa CCM Taifa!

Ninajua kuna kundi la baadhi ya wanaCCM ambao fagio la uhakiki wa mali za CCM na safisha CCM liliwakumba kwa sasa wanafanya kazi kuhakikisha Dkt. Bashiru asirudi tena CCM kama Katibu Mkuu lakini Wazee wa CCM ambao ni Makamu Mwenyekiti wa CCM wa Bara na yule wa visiwani wamekubaliana na uamuzi wa Mwenyekiti ajaye wa CCM Taifa wa kulipeleka jina la Dkt. Bashiru katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ili likathibitishwe kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa.

Kuna watu watakuja na hoja wakisema, atakuwaje Katibu Mkuu wa CCM wakati ni Mbunge na kwa nini alipewa Ubunge? Jibu la swali hili lilishatolewa kwenye uteuzi wa Dkt. Abdallah Saleh Possi, Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani ambaye alikuwa mbunge wa kuteuliwa kabla hajateuliwa kuwa Balozi. Dkt. Bashiru akiwa Katibu Mkuu wa CCM itabidi ajiuzulu Ubunge wake kama alivyofanya Dkt. Possi.

Kwa wasiojua, Dkt. Bashiru asingeondolewa kwenye nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi na kubaki mitaani bila sehemu ya ''kumuingizia kipato'' wakati akisubiri wenye CCM kumthibitisha! Njia iliyotumika ni kumpa ''ajira'' ya muda mfupi ambayo inajulikana kisheria ili kusubiri Mkutano Mkuu wa CCM na Kikao cha NEC ya CCM.

Kuna msemo usemao, Anayelia mwanzoni, mwisho hucheka kwa furaha na anayecheka mwanzoni, mwisho hulia!
Bashiru alifukuzwa kwenye kamati kuu kwa shinikizo la JK.
Sasa leo atarudi kuwa Katibu Mkuu CCM kwa njia ya panya?
 
Arudi tu maana kwa kukaa benchi nadhani atakuwa ameishajifunza CCM ilivyo na namna nzuri ya kuongoza.
 
Back
Top Bottom