jm kanal wa jesh,waziri kwa zaid ya miaka kumi.rais wa nchi,mwenyekiti wa chama kitaifa unataka kumlinganisha na huyo mtembeza sumu bar za uswahilini msaliti wa kanisa
Hebu uwe na akili wewe mleta mada japo kiduchu!!!!
Unauliza wadau wanampenda nani ua nani zaidi???!!!
Kwa vigezo gani???!!!
Huwezi fananisha gari inayotembea na engine iliyo ndani ya nyumba kwa hali yoyote iwayo!!!!
Kuwa objective weka vigezo na score sheet kama uko serious
jm kanal wa jesh,waziri kwa zaid ya miaka kumi.rais wa nchi,mwenyekiti wa chama kitaifa unataka kumlinganisha na huyo mtembeza sumu bar za uswahilini msaliti wa kanisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.