hahahahaha ni bora hata huyu anayevaa hivi lakini mwisho wa siku anawafikiria watanzania kuliko Jay Kay bingwa wa kutupia lakini linapokuja suala la watanzania anabaki anachekacheka
Mkuu Ritz
Ahaa haa Baba Junior amevaa suti au suti imemvaa? Mambo ya mtumbani hayo! Kwani alikuwa na ulazima wa kuvaa suti? Molemo alikuwa wapi si ndio mpambe wa karibu? Yaani ametutia aibu sana uvaaji gani huo; utafikiri ndio anatoka leo kijijini kwao; au huyo ni pacha mwenzake mwenyekiti wa kijiji? Mkuu Ritz mtafute Molemo atupe majibu hii aibu kuvaa hajui halafu anataka uraisi! Na ajifunze kuvaa kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.