Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Dokta wa Ukweli, Rais uliyenyang'anywa ushindi kimazingaombwe.
Misukosuko hii ndani ya CUF na NCCR Manunuzi inayotokea kwa wakati mmoja siamini kama ni coincidence. Ni kwakuwa wanaohusishwa nayo wamekuwa na ukaribu kwa kiasi kikubwa na Vigogo wa CCM na serikali yake. Hawa ni Hamad Rashid na Zitto Kabwe. Kwamba watu hawa wapo karibu na viongozi wa juu wa CCM hilo halihitaji kuthibitishwa tena hapa jamvini.
Sasa una mambo yafuatayo ili kukinusuru chama
1. Una mtihani mzito kwa Shibuda. Hadi sasa handling ya issue ya Shibuda iko perfect by 100pct. Angalieni asije aka team up na virusi wengine
2. Yupo huyu Zitto. Ushahidi wa mawasiliano kati yake na TISS pa,oja na mengine anayozidi kuyafanya lazima mkae mnamtazama kwa macho makali sana. Mkisinzia tu mtafungwa goli la mkono bila kujua.
3. Hivi sasa kuna presha ya kumrudisha Kafulila, sisimizi aliyeikosea adabu chadema akiwa chadema na akiwa bungeni. Angalieni maamuzi yenu katika hili.
4. Ile kamati kuu ya chama. Kuna bomu linasubiri muda ufike lilipuke. Wenzenu Kafu waliliona hilo wakajitahidi japo kwa mizengwe kujiweka kando na hilo bomu.
Mwisho, Chadema mna kazi ya kusafisha Virusi na kutokukubali virusi zaidi viwavamie.
Ni hayo tu kwa leo
Misukosuko hii ndani ya CUF na NCCR Manunuzi inayotokea kwa wakati mmoja siamini kama ni coincidence. Ni kwakuwa wanaohusishwa nayo wamekuwa na ukaribu kwa kiasi kikubwa na Vigogo wa CCM na serikali yake. Hawa ni Hamad Rashid na Zitto Kabwe. Kwamba watu hawa wapo karibu na viongozi wa juu wa CCM hilo halihitaji kuthibitishwa tena hapa jamvini.
Sasa una mambo yafuatayo ili kukinusuru chama
1. Una mtihani mzito kwa Shibuda. Hadi sasa handling ya issue ya Shibuda iko perfect by 100pct. Angalieni asije aka team up na virusi wengine
2. Yupo huyu Zitto. Ushahidi wa mawasiliano kati yake na TISS pa,oja na mengine anayozidi kuyafanya lazima mkae mnamtazama kwa macho makali sana. Mkisinzia tu mtafungwa goli la mkono bila kujua.
3. Hivi sasa kuna presha ya kumrudisha Kafulila, sisimizi aliyeikosea adabu chadema akiwa chadema na akiwa bungeni. Angalieni maamuzi yenu katika hili.
4. Ile kamati kuu ya chama. Kuna bomu linasubiri muda ufike lilipuke. Wenzenu Kafu waliliona hilo wakajitahidi japo kwa mizengwe kujiweka kando na hilo bomu.
Mwisho, Chadema mna kazi ya kusafisha Virusi na kutokukubali virusi zaidi viwavamie.
Ni hayo tu kwa leo