Dk. Slaa matatani kwa ubaguzi

Dk. Slaa matatani kwa ubaguzi

Ushauri wa bure kwa Ndg Simiu yetu , nakuomba ulitendee haki jina ulilojipa/ ulilojipachika la Simiu yetu. Siamini ktk hoja zako na kibaya zaidi michango yako mingi imejaa ukakasi na haina tija kiasi cha kulidharirisha jina unalolitumia.
 
Jina la gazeti tu linawahukumu! Eti mkakati... Makati wa propoganda kama mazungumzo baada ya habari.

Haya bana...
 
Tarifa zilizoripotiwa na gazeti moja la mkakati limebainisha kuwa ubaguzi wa mzee slaa sasa umemweka pabaya,

Tarifa zaidi zinasema kuwa mzee slaa amekuwa mbaguzi kila anapokuwa kwa kubagua kundi flani la watu kwa malengo anayojua yeye,

Tarifa zaidi soma gazeti la mkakati leo 30/04/2015.
attachment.php

Ulitegemea gazeti la mtanzania wangeandika tofauti na walicho andika wakati wanalipwa kwa ajili ya kufanya hicho walichokifanya.
 
Watanzania wangefahamu haya magazeti kwa sasa nani kashika rimonti wala wasingeumiza kichwa
 
Wakianza kukufuatilia sana....

Wanakulalamikia sanaa..

Urais unao... Mzeeee!!
 
Watanzania wangefahamu haya magazeti kwa sasa nani kashika rimonti wala wasingeumiza kichwa
Mimi najua tanzania daima kuwa mbowe kashika rimoti wewe unajua lipi tena?

Lakini ukweli haubadiliki kuwa slaa ni mbaguzi.
 
Mwanasheria wa yanga amewaonya kuendelea kutoa taharifa za uwongo pale watakapoendelea kama ya juzi mwanaspoti,manji aahidi magari na nyumba wakati ni uwongo,so siwashangai hawa mkakati ndio wale wale.
 
Hilo gazeti nalo linaripoti kama vile ni news? Mbona hilo linajulikana toka kitambo? Na Babu wamemuonea tu, hayuko peke yake, hiyo ni sera ya chama.
 
Yote hii kuidhofisha CDM & UKAWA! "Uwongo wa kuzusha nyie, Utabil kuwa cdm kwishney nyie" bac msiangaike nayo
 
Back
Top Bottom