mtz daima JF-Expert Member Joined Apr 15, 2015 Posts 1,561 Reaction score 579 May 1, 2015 #41 Anatekeleza sera ya chama chake acheni kukuza mambo hayuko matatani
Koo Lauma Senior Member Joined Jun 10, 2014 Posts 184 Reaction score 61 May 1, 2015 #42 Gazeti lenyewe Laitwa MKAKATI ni Miongoni mwa yale Magazeti Ya UDAKU yakuzuka na Habari ya Umbea Kisha Linapotea..
Gazeti lenyewe Laitwa MKAKATI ni Miongoni mwa yale Magazeti Ya UDAKU yakuzuka na Habari ya Umbea Kisha Linapotea..
valentinypaul JF-Expert Member Joined Aug 23, 2014 Posts 246 Reaction score 28 May 1, 2015 #43 Magazeti ya unafiki na yakiboya2.
kifutu JF-Expert Member Joined Apr 8, 2015 Posts 219 Reaction score 82 May 1, 2015 #44 Sumu said: CHADEMA inakufa, ACT-Wazalendo inachukua nafasi. Lazima mkasimame usiku pale Billcanas. Click to expand... Nendeni mkamsaidie dada yenu kujibu hoja kwa nini shilingi yetu inaporomoka kwa kasi ya ajabu. Anatoa majibu ya kipuuzi nyie mnakimbizana na Chadema tu!! Nyie vipi!
Sumu said: CHADEMA inakufa, ACT-Wazalendo inachukua nafasi. Lazima mkasimame usiku pale Billcanas. Click to expand... Nendeni mkamsaidie dada yenu kujibu hoja kwa nini shilingi yetu inaporomoka kwa kasi ya ajabu. Anatoa majibu ya kipuuzi nyie mnakimbizana na Chadema tu!! Nyie vipi!
FaizaFoxy Platinum Member Joined Apr 13, 2011 Posts 100,506 Reaction score 123,776 May 1, 2015 #45 "hata iweje hataingia jikoni ng'oo" Nnakubaliana na hiyo kauli 100%.
U ungonella wa ukweli JF-Expert Member Joined Mar 27, 2012 Posts 4,210 Reaction score 556 May 1, 2015 #46 haahaa magazeti yamafisadi kazini