Dk.Slaa lipa deni hili la CHADEMA

Ushahidi mnao wewe na nani?
Pili mbona uandishi wako ni wakujihami sana?
Tatu akikanusha au kukubali utajisikiaje na Zito wako anayekushikia akili?
 
Najuta kumfahamu huyu kiumbe anayejiita Tuntemeke, kwa yeyote anayefikiri sawa sawa lazima atakupuuza tu.
 
Ushahidi mnao wewe na nani?
Pili mbona uandishi wako ni wakujihami sana?
Tatu akikanusha au kukubali utajisikiaje na Zito wako anayekushikia akili?

zito kafika vipi hapa mkuu?mbona kila kitu watu munamuota zito,kama nawe unataka kuolewa na zitto ruksa kama mwenzako josephine kwa slaa.
 
Ebwana ehh huyu Jamaa yupo jikoni kabisa anajua kinachoendelea ndani manake hizi habari Kama wa nje huwezi pata.
 
Sitakaa nimjibu tena mwendawazimu huyu.Ameleta huu uchizi wake hapa ili avuruge operesheni Sangara iliyoanza leo.Huyu ni sawa na mwanaharamu.

bila shaka umezaliwa na wazazi wa jinsia moja. Usiwe mbumbu. Leta hoja huo utoto peleka facebook. Unafikri chadema ni malkia mpaka wasikosee. Usiwe kama wazee wa ccm ambao hawasikii kitu kuhusu ccm.. Au umekunywa maji ya bendera ya chadema nini?
 
kuna aina nyingi za yule myama anayelinda wanadamu kuna koko na haachi kubweka sababu kubwa ya kumfanya abweke ni njaa poleni sana
 
kuna kundi la watu ni wajinga sana,kila slaa akipakwa matope wanamsingizia Zitto. Acheni kufikiri kwa kutumia tumbo.

Ndugu yangu mleta thread naomba ulete ushahidi ndipo nitasema lolote,ingawa kuna uwezekano kukawa na chembe ya ukweli kwny hoja yako.
 
kweli kupenda kubaya,mtu unapenda hadi unakuwa kipofu?dr slaa ana mapungufu mengi sana na mara nyingi anatumika na mkewe kama remote,kwangu mimi hata nafasi ya ubalozi wa nyumba kumi simpigii kura,ktk chadema jembe ni moja tu mbowe,so nyie munaotoka mapovu kumtetea slaa nawashangaa sana,mzinzi kama yule hatoinajisi ikulu hata siku moja,2015 mgombea mbowe slaa fisadi.
 
Du kweli makovu ni vigumu kufutika! Bado una lilia tu!

Msalimie miss Genda

 
Nlisahau manchester united na barcelona fc wametoka bila ya kufungana wayne rooney alikosa penat dk ya 45. haya ndo mambo ya kujadili sio huo ujinga wa huyo tuntemenke
 


naona kama tungeanza na zile za epa kwanza
 
Wewe tuntemeke na CCM wenzio hamuwezi hata siku moja kuangusha ngome imara ya CHADEMA. Njooni na propaganda zenu za kila aina lakini bahati nzuri wapenzi na wanachama wengi wa CHADEMA wamekwenda shule hawawezi kuyumbishwa na Propaganda zenu. Kwanza napenda kukuweka wazi wewe na Magamba wenzio Siasa za kuenezwa kwa propaganda kwa kizazi hiki huwezi kumpata mtu. Siasa hizi zilitumika miaka ya 60, 70 na 80 sasa hivi watu wanasimamia kwenye ukweli si propaganda zenu uchwara. Wewe na CCM wenzako kuvuana magamba mmeshindwa. Rushwa ya Rada mnasema hakuna Rushwa ili kuwalinda wahalifu tena na kuwapa vyeo Bungeni. Sasa kwa vijana wa sasa mtaongea nini mueleweke. Kwanza nakuweka wazi sisi Dr Slaa tunaweza kumsamehe hata kama amechukua fedha za chama ukizingatia kwa matumizi muhimu ya kushughulikia Makazi ya Katibu wetu. Si hivyo tu bado tuna uwezo wa kumchangia hata Pesa za kujenga jumba la kifahari. Lakini sisi si mafisadi kama wewe na CCM wenzako. Ukiwa unakija kwenye jukwaa hili uje na mambo ya msingi Usiongelee suala la Viongozi wetu mahiri. Kama unataka kuleta story za maana ongelea mmewachukulia hatua gani Watuhumiwa wa ufisadi ndani ya Chama Chenu cha Magamba.
 
huyu bwana si yule alinyimwa cheo afu akaanza kuongea mbofu mbofuuuuu?
makene hebu mwaga cv ya huy jamaa jukwaani tumjadili
kila chama kina taratibu zake hata ccm wanakopana pia hii sio big deal.
 
sina Data so sina uhalali wa kujadili. Ila angejitambulisha kuwa source ni nini, naye n mchangiaji wa fedha hizo, ...
Hoja naona bado ipo juu juu sana.
 

Samahani Mkuu uozo wa Slaa ukianikwa ndio propaganda?
 
Tuntemeke tzs 140,000,000,000 gawa kwa wanachama milioni moja shilingi 14000 ziuwe chama tusipate ukombozi? Teh teh sabodo atatoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…