DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
TUMTEMEKE hatutakaa tukuelewe..ulitamani madaraka tumekunyima.endelea ku2mika.
Hadi ruzuku jombaa anajikopesha utadhani CDM ni SACCOS!..
Haya ndo matatizo ya kuanza mapenzi ukubwani na kutembea na watoto wa mjini unanogewa hadi unakabidhi hati za nyumba, mbaya zaidi ni kwa mke wa mtu mwingine..
Mwanaharamu ni yule aliyemkana mama yake ni kujipachika kwa Josephine!!!
Chama
Gongo la mboto DSM
Wewe ni taahira watanzania wanachohitaj ni ukomboz kutoka mikononi mwa CCM sio umbea wako kuhusu dk slaa kila cku 2ambie wewe umekisaidiaje CHADEMA mpaka kufika hapa kilipoDaaa...yaani matusi kwangu maji...naogopa ban.\jibu hoja.mm ni legend wahayo yote unayo yafikiria kichwani mwako..punguza hasira twende taratibu.Haya unasemaje?
Wana Jf sio kwamba nawaondolea imani na Dr.slaa ndani ya chama,bali huu ni ukweli kabisa kwamba Dr.slaa anadaiwa na chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA) kiasi cha tsh.Million 140 ambazo hazifahamiki zitarudishwaje hadi hii leo.
Wewe ni taahira watanzania wanachohitaj ni ukomboz kutoka mikononi mwa CCM sio umbea wako kuhusu dk slaa kila cku 2ambie wewe umekisaidiaje CHADEMA mpaka kufika hapa kilipo
Sitakaa nimjibu tena mwendawazimu huyu.Ameleta huu uchizi wake hapa ili avuruge operesheni Sangara iliyoanza leo.Huyu ni sawa na mwanaharamu.
Issue za slaa zinakuhusu nini wewe nani ndani ya CDM kalalamika pelekeni huo umbeya wenu wa lumumba kwa napeSasa we si ujibu tu Kama kweli au si kweli maana wewe ni mmoja ya watu walio ndani ya cdm .alafu kwanini ishu za slaa zikiletwa hapa baada ya kujibu mnaleta matusi Kama vile wao nimalaika hawakosei. Zikiletwa ishu za watu wengine walahamtaki kujua chanzo mnamuhukumu