Sitakaa nimjibu tena mwendawazimu huyu.Ameleta huu uchizi wake hapa ili avuruge operesheni Sangara iliyoanza leo.Huyu ni sawa na mwanaharamu.
Mwanaharamu ni yule aliyemkana mama yake ni kujipachika kwa Josephine!!!
Chama
Gongo la mboto DSM
Sitakaa nimjibu tena mwendawazimu huyu.Ameleta huu uchizi wake hapa ili avuruge operesheni Sangara iliyoanza leo.Huyu ni sawa na mwanaharamu.
Kumbe wambeya kwako ni makamandaMkuu wangu TUNTEMEKE edit hapo kwenye Sh140 halafu twende sawa Kamada wa ukweli.
Yaani jamaa sasa anaboa kinoma, hata kama ni Propaganda ama ni chuki sasa zinakuwa hazina mshiko kabisaAisee, kila ukilala ukiamka, suala ni cdm na Dr Slaa, duh, kazi unayo mdau
Bora ya saccos kuliko wezi na mafisadi wa utajiri wa nchi hiiMkuu Ritz
Hiki chama kimegeuka saccos? unakumbuka mweka hazina alibadilishwa kwa zengwe jingi?
Chama
Gongo la mboto DSM
Naona mkuu kashindwa kutangaza vita mpaka anasaidiwa na mwamba wa kaskazini mkristo lowassa kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Teh! Teh!
Sitakaa nimjibu tena mwendawazimu huyu.Ameleta huu uchizi wake hapa ili avuruge operesheni Sangara iliyoanza leo.Huyu ni sawa na mwanaharamu.
Sitakaa nimjibu tena mwendawazimu huyu. Ameleta huu uchizi wake hapa ili avuruge operesheni Sangara iliyoanza leo. Huyu ni sawa na mwanaharamu.
Beta ze devil you know than ze Angel yu dont know!
We kweli ni tahira yani dr slaa aache kukiimarisha chama haje hapa kujibu 2huma zako mavi kweli wewe,, kama una ushaidi nenda mahakamani ukafungue kesi au kama unauchungu kazae
Wana Jf sio kwamba nawaondolea imani na Dr.slaa ndani ya chama,bali huu ni ukweli kabisa kwamba Dr.slaa anadaiwa na chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA) kiasi cha tsh.Million 140 ambazo hazifahamiki zitarudishwaje hadi hii leo.
Mchanganuo wa deni hili ni kama ifuatavyo...
1.Dr.slaa alikopa fedha kiasi cha tsh.Million 80 kwaajili ya kumalizia malipo ya deni la nyumba ya NSSF aliyokopeshwa maeneo ya bunju....Fedha hizi zilikopeshwa tangu mwaka juzi.Ilihali nyumba ile ya bunju na Karatu zilizojengwa na Dr.slaa zinamilikiwa na Bi.Josephine Mshumbusi hii nikwamujibu wa hati ya nyumba kama inavyosomeka kwenye wamiliki wa nyumba za NSSF .
2.Pili alichukua pesa million 40 za chama zilizotengwa kwaajili ya uchaguzi mwaka 2015 fedha hizo ni zile zilizokuwa zikichangiwa na wabunge wa chadema kila mwezi kama walivyokubalina na kamati kuu mapema baada ya uchaguzi(kwenye kikao cha evaluation ya uchaguzi mwaka 2010).sakata hili limepelekea baadhi ya wabunge kugoma kuendelea kuchangia mfuko wa chama na hivi majuzi huko bungeni dodoma kwenye vikao vya chama vya ndani wabunge walisimamia kidete swala hili la kumtaka Dr.slaa alipe deni hilo ili arejeshe imani kwa wabunge kuendelea kuchangia.
Wacha kupotosha watu, wewe Kama una uchungu na hizo hela za cdm Embu scan receipt moja tuu inayo onyesha ulichangia cdm....Tehe Tehe zito + gamba at work. Ulishawahi kumuona shekhe akifanya kazi msikitini akaenda kula kanisani?????? Hoja yako haina mashiko kajipange upya