acha upuzi agenda ya mwenyeki wa ccm unaihamishia chadema kaombe marejeo ya kauli ya kikwete tbccm kasema na kutangazia taifa hajijui anachosema ndio maamuzi lazima wananchi watekeleze miundu visu majambia mapanga yananolewa hakuna atakayekuwa mnyonge sera za ccm za mauajiWe vipi? Mbona umeng'ang'ana na neno, "vita ya wenyewe kwa wenyewe", Kauli hii kaitoa nani na wapi? Au ndio ajenda yenu chadema? Yaani inawezekana vipi we uwe hujamdhuru mtu, unafanya siasa zenye kufuata demokrasia na sheria halafu akaja mtu akamwaga damu yako! Labda huo ndio mpango wenu chadema. Mnahofu pengine ccm itajilinda basi mnalalama kutwa kucha humu Fb, acheni mawazo ya laana hayo!
Kiazi kingine hiki.
umezoea kuchapiwa na babu na mbowe na slaa et unajificha ni siri ya ndani.
Unatumika as if hali ikiwa tete nawe utapelekwa Doha kukimbia machafuko.Akili ya maiti hii.
huyu babu slaa anazeeka vibaya, inabidi ashikwe kwa nguvu akapimwe akili milembe
Dr.Slaa yaani nyie mnawapiga mapanga raia na kuwamwagia tindikali muachwe tu.
Huyu naye akamatwe tu...tumechoka kuona Chadema wakichochea vurugu kwa kupotisha kauli za JK.Jk alichomaanisha ni CCM wajibu mapigo kwa maneno..kwamba wakisemwa wasikae kimya..na wenyewe wajibu kwa hoja.....uchochezi huu ukilelewa utafanya nchi isitawalike.
huyu babu slaa anazeeka vibaya, inabidi ashikwe kwa nguvu akapimwe akili milembe
endelea kumfurahisha kikwete anayeingiza nchi kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe akumbuke msoga atapaona kama sayari ya mercury raisi anatangaza kupambana na wananchi wake zinamtosha kwelu
Kwani mbowe akikimbilia dubai atakwenda na wewe?
Shida ya kuchukua wacheza bao uswahilini kuwapa nchi kutatugharimu sana Tanzania'
chadema mkileta vurugu ni kichapo tu hakuna msamaha
Hakuna haja ya kumpima akili, ni K.U.M.K.A.M.A.T.A kwa nguvu na kumfikisha Mirembe.
Akili za gongo wapi Rais kataja vita.
unathibitisha kauli ya mwenyekiti wa ccm asiyejitambua anataka kuchoronga mfereji wa damu
unachojua ni kauli za mwenyekiti wa ccm za uongo epa watarudisha pesa pesa inaenda kwenye akaunti zake ni na majina ya wazungu wa unga majangiri kumbe familia yake nu wahusikamkuu, mimi nina wasi wasi sana na utimamu wa akili ya slaa, labda dogo dogo Josephine anampeleka mchakamchaka
Dr.Slaa yaani nyie mnawapiga mapanga raia na kuwamwagia tindikali muachwe tu.
Vilaza bana yani hawajui tofauti ya kauli za mkuu wa nchi na watu bakiSLAA hapaswi kushangaa kauli ya JK, kwa vile wao ni waumini wa kauli kama hizo na kuchapisha kwenye mitandao ya kijamii machapicho ya kichochezi. Kauli kama hakuna kulala mpaka kieleleweke, nchi haitatawalika na nyingine nyingi ni kauli mbaya sana kuliko ushauri huu alioutoa JK kwa wafuasi wa chama chake.