Nakubaliana na wewe kwamba Dk.slaa hawezi kuwa kama maalim Seif.Hawezi ku-bargain damu ya wapigania haki na cheo au ulinzi wa kusimamia mihadarati.Hawezi kufanya jitihada zote kupigania kuwa msimamizi wa KMKM.
Hapo kwa Raila Odinga: Dr Slaa ni powerful na anafanya kazi kilichopo tumuunge mkono kama Raila Odinga alivyoungwa mkono na vijana wengi ambao asilimia kubwa waliji-organize wenyewe hata nje ya party platform.Subiri mziki ndiyo unaanza kuelekea 2015 itakuwa ni historia Tanzania na Africa
Raila Odinga nakubali ni Bingwa wa siasa za kimapambano lakini ni lazima tulinganishe nature ya watanzania na wakenya.Dr Slaa kuweza kuchangamsha siasa za upinzani kunzia Bungeni na hadi unapoona sasa ni achievement kubwa kwa jamii iliyokuwa inaona upinzani kama uhaini.Slaa na CHADEMA team kwa ujumla wanastahili pongezi
Forget what sentiments you have against the man. Clearly on achievements, he remains a truly nationalistic patriot.The first ever public attempt against corruption was his 'Mwembe Yanga List of Shame declaration'.You cannot write the history of modern day Tanzanian political landscape without acknowledging his onerous contributions as a true nation builder, patriot, and insightful leader.
This forum is too limited for me to elaborate on his laudable achievements, as a student of history. Love or loathe him, he is the best of the bunch and is unparalleled till date achievement wise. He is head and shoulders above these wet clueless incompetent timid bunch.
Dr.Slaa, let it be known that you're well appreciated as a true-grit Tanzania of worth. Thank you.
Air your views/opinion, agree/disagree. There's no need for insults, simple. Some of us contributing might be old enough to be your father.Show some respect and proper decorum. Thank you.