MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,345
- 11,227
Join Date : 15th July 2012
Posts : 82
Rep Power : 317
Likes Received 3
Likes Given 0
Mamluki utawajua tu, siku moja na nusu, post zapata 100, almost zote za kidini.
Join Date : 15th July 2012
Posts : 82
Rep Power : 317
Likes Received 3
Likes Given 0
Unaweza kunambi makanisa mangapi hivi yanaongozwa na mashoga duniani na ile ziara ya uponyaji inaendelea wapi nahic tumbo langu linaniuma?Mlanguzi, hebu tudokezee ratiba yenu ya mzunguko wa pili wa uchomaji makanisa huko zenji.
Yaani suala lipo waiz kabisa ,ila wafuasi wa CDM inaonekana wamechanganyikiwa na wanaleta uKova !
....
.......
u Kova.....Selemani!
Lipi lilio wazi kuweni wazi ....
Kwamba CCM inataka kumfunga Slaa kama walivyofungwa kina Mandela?
Au Kuwa maalim seifu ni kidume kwa sababu ana sunna ya Ndevu!?..
.......
Unaweza kunambi makanisa mangapi hivi yanaongozwa na mashoga duniani na ile ziara ya uponyaji inaendelea wapi nahic tumbo langu linaniuma?
Mlanguzi, hebu tudokezee ratiba yenu ya mzunguko wa pili wa uchomaji makanisa huko zenji.
hivi huyo hapo kwenye nyekundu si amekubali kuolewa na ccm, unafikiri watu kama wakina mandela wangekubali kuolewa ingekuaje!jee anaweza kuwa kama maalim seif shariif- alieratibu mfumo wa vyama vingi hadi kufikia hapa tulipo? Kwani wakati watz wanataka mfumo wa vyama vingi. Asilimia 80 ni zanzibar ambapo harakati za maalim seif zilianza hadi kufikia hapa
2)anaweza kustahamili vishindo kama mandele wakati wa utawala wa makaburu?
3)dosmon tutu?
4)raila odinga na utawala mbaya wa daniel arap moi?
Lipi hasa ukiondoa mkutano wa mwembe yanga ulimfanya dk slaa kuwa mpambanaji madhubuti wakati majeshi pinzani watakapotumia silaha nztio kama za makaburu afrika ya kusini na ya maalim seif huko zanzibar ?
Jee anaweza kuwa kama Maalim Seif Shariif- alieratibu Mfumo wa Vyama vingi hadi kufikia hapa Tulipo? Kwani wakati watz wanataka mfumo wa Vyama vingi. asilimia 80 ni Zanzibar ambapo harakati za MAALIM seif zilianza hadi kufikia hapa
2)Anaweza kustahamili vishindo kama MANDELE wakati wa Utawala wa Makaburu?
3)Dosmon Tutu?
4)Raila Odinga na Utawala mbaya wa Daniel Arap moi?
Lipi hasa ukiondoa Mkutano wa Mwembe Yanga ulimfanya DK Slaa kuwa mpambanaji madhubuti wakati majeshi pinzani watakapotumia Silaha Nztio kama za Makaburu Afrika ya Kusini na ya Maalim Seif huko Zanzibar ?
Kumbe Mzanzibari?Inaoenekana watanganyika mnapenda sana makanisa kuliko hata ofisi za umma
Yaani suala lipo waiz kabisa ,ila wafuasi wa CDM inaonekana wamechanganyikiwa na wanaleta uKova !
Mimi kama mimi basi Slaa atakufa njiani akipata misukosuko kama ya hao uliowaandika ,ule umri alio nao na afya yake inaonekana kabisa hahimili vishindo !