hata uwe na elimu chumba kizima kijae kama huna busara sawasawa na bure tu mfano huyo babu mnaemnadi hapo kwani angetafuta mwanake huko mtaani akamfanya mkewe nani angemuuliza matokeo yake msomi huyu fake katoka kanisani huko na kupora hovyo wake za watu elimu yake iko wapi vyeo vyake vipo wapi vinaji delete vyenyewe,asituksnishe kanisa na uroho wake wa madaraka.