Angekuwa na tamaa ya madaraka angetangaza baraza lake la mawaziri kama OUATARRA.
Huyu ndiyo Doctor wa Ukweli, pamoja na kuibiwa kura katumia busara.
Hongera Rais wangu, ulistahili hiyo tuzo na nyingine nyingi.
kituo cha sheria na haki za binadamu kimemtunukia aliyekuwa mgombea urais na katibu mkuu wa chadema, dk. Wilbroad peter silaa tuzo ya majimaji kutokana na mchango wake katika bunge lililopita wakati alipokuwa mbunge wa karatu.
Tuzo hiyo amekabidhiwa leo usiku katika sherehe zilizofanyika huko jijini dar eneo la kijitonyama.
Mpaka sasa dk. Slaa anakuwa mtu wa pili kutuzwa tuzo hii ambayo hutolewa mara moja kila baada ya miaka mitano huku wa kwanza akiwa ni jaji mwalusanya aliyeipokea mwaka 2005.
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimemtunukia aliyekuwa mgombea Urais na Katibu mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Peter Silaa tuzo ya Majimaji kutokana na mchango wake katika Bunge lililopita wakati alipokuwa mbunge wa Karatu.
Tuzo hiyo amekabidhiwa leo usiku katika sherehe zilizofanyika huko jijini Dar eneo la Kijitonyama.
Mpaka sasa Dk. Slaa anakuwa mtu wa pili kutuzwa tuzo hii ambayo hutolewa mara moja kila baada ya miaka mitano huku wa kwanza akiwa ni Jaji Mwalusanya aliyeipokea Mwaka 2005.
Huyu ndo rais wangu wa kweli, pipo kan sii this bwana!
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimemtunukia aliyekuwa mgombea Urais na Katibu mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Peter Silaa tuzo ya Majimaji kutokana na mchango wake katika Bunge lililopita wakati alipokuwa mbunge wa Karatu.
Tuzo hiyo amekabidhiwa leo usiku katika sherehe zilizofanyika huko jijini Dar eneo la Kijitonyama.
Mpaka sasa Dk. Slaa anakuwa mtu wa pili kutuzwa tuzo hii ambayo hutolewa mara moja kila baada ya miaka mitano huku wa kwanza akiwa ni Jaji Mwalusanya aliyeipokea Mwaka 2005.
Mmechangayikiwa walokole !! Ploeni
Nishani ya Nobel ina thamani kubwa sana yaani inaambatana na cash prize. Hiyo tuzo ya maji maji na thamani gani kwa maana ya cash prize? au ni kinadi tuu
Nkikabila chake na mtandao wake wa kikatoliki ulio mtunza tuzo hilo, wapo wengi wanaostaili hapa bungeni, waliopambana miaka mingi mpaka leo sio mchungaji
Hii sherehe ya tuzo imefanyika kanisani unategemea nini ???? ni uleule mtandao wa kikabila na kidini
Kaka; ni njaa inakusumbua au...!
Kati ya wote waliokwishachangia hapa, wanaonyesha mtizamo wa kitaifa na kijamii zaidi ila wewe.....! Hela...thamani ya haki na heshima haipimwi kwa fedha/cash prize...! Hivyo kama jamii inamkubali Dr Slaa kwa heshima na fikra zake kulikomboa Taifa kwa nyanja mbalimbali ikiwa ni pamoja na mchango wake ndani ya Bunge, hata wangempa fedha bila heshima isingekuwa na thamani yoyote! Mafisadi wanapeana ma-hela lakini tafakari jinsi hadhi yao ilivyotoweka ktk jamii....
Dr Slaa anastahili thamani na heshima zaidi ya fedha...
Kaka; ni njaa inakusumbua au...!
Kati ya wote waliokwishachangia hapa, wanaonyesha mtizamo wa kitaifa na kijamii zaidi ila wewe.....! Hela...thamani ya haki na heshima haipimwi kwa fedha/cash prize...! Hivyo kama jamii inamkubali Dr Slaa kwa heshima na fikra zake kulikomboa Taifa kwa nyanja mbalimbali ikiwa ni pamoja na mchango wake ndani ya Bunge, hata wangempa fedha bila heshima isingekuwa na thamani yoyote! Mafisadi wanapeana ma-hela lakini tafakari jinsi hadhi yao ilivyotoweka ktk jamii....
Dr Slaa anastahili thamani na heshima zaidi ya fedha...
Jakaya Mkwere KikweteTanzania has one president, its not like Ivory Coast. We have his excellency J.M.Kikwete