Mbona hueleweki???? jarbu kutumia lugha unayoweza kuimudu... haina haja ya kulazimisha lugha usizoziweza. Usije ukatukana.... kiswahili tafadha... kiswahili...
Majimaji, ndio tuzo ipi hiyo? Ya Jihad? Kwani nijuavyo vita ya majimaji ilikuwa ni Jihad!
Nkikabila chake na mtandao wake wa kikatoliki ulio mtunza tuzo hilo, wapo wengi wanaostaili hapa bungeni, waliopambana miaka mingi mpaka leo sio mchungaji
Hii sherehe ya tuzo imefanyika kanisani unategemea nini ???? ni uleule mtandao wa kikabila na kidini
Vita vya majimaji vilipiganwa miaka ya mwanzo ya 1900 huko. Sijui ni kwa nini uite Jihad au huna msamiati mwingine?
Dr. Slaa atapata tuzo nyingi sana, mpaka atakosa pa kuziweka!
Nadhani tuzo inayofuata itakwenda kwa kikwete dr.feki kwa kuwaletea watz "maisha bora kwa kila mtanzania"......nampa kikwete hongera in advance.