Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,512
- 6,145
Angekuwa na tamaa ya madaraka angetangaza baraza lake la mawaziri kama OUATARRA.
Huyu ndiyo Doctor wa Ukweli, pamoja na kuibiwa kura katumia busara.
Hongera Rais wangu, ulistahili hiyo tuzo na nyingine nyingi.
ila mkuu OUATARRA alikuwa na haki ya kufanya alivofanya bana...