kasanda mnyamwezi
Member
- Oct 14, 2016
- 35
- 29
mwanae mdogo kakua
yaelekea izi sinema za kubatilisha kujiuzuru ndiyo zipo kwenye chat kwa sasa na producer ni bw mtungi.zikiisha aje kubatilisha barua yake ya kujiuzilu
Kwani hujui kuwa Kuna ahadi ya kuua watu wakiandamana?? Sijaribiwi?!!!! Unapenda watu wafe eeeeeeehhhh.......Mwache ale bata.
Tangu aondoke hakuna tena operesheni yoyote ya chadema ishafanikiwa...
Hakuna maandamano yoyote hata ya amani..
Matamko hewa....
Ukuta hewa
Mnapata shida kwa sababu ya upumbavu wenu.Kwani hujui kuwa Kuna ahadi ya kuua watu wakiandamana?? Sijaribiwi?!!!! Unapenda watu wafe eeeeeeehhhh.......
Tatizo kubwa la huyu Mzee ni kutokuwa na uzoefu na akina bibie mwisho akapata watumia vipodozi podo, naye akabaki macho kodo!!
Slaa as Slaa hana tatizo na ni hero, tatizo ni kiambata chake (attachment)!!!
Kwani jamaa kaishiwa? Mbona wanasema hana wategemezi?Aendelee kula hao bata ila kimahesabu asijeishiwa akarudi kusumbua kama yule prof uchwara...