Dk. Slaa afanyiwa njama kufungwa

Hakuna kosa kubwa kwenye siasa kama kumfunga mwanasiasa.Ukifuatilia historia ya mataifa mengi utagundua kuwa kila aliyesweka ndani kwa ajili ya kutetea umma alitoka na kuwa rais,sijui kama ccm watamudu wimbi la kitakachotokea hapa kama watafanya hivyo.Tulisema juzi kuwa hawa ccm na serikali yao wasiwakamate wala kuwatesa akina Dr.Slaa bali wakamate roho zao manake tayari zimetapakaa miongoni mwetu watanzania.HUWEZI ZUIA MAFURIKO KWA VIGANJA!!
 
Hamna kitu, acha hizo maneno yako yote hana ukweli bali ni kuisingizia Serikali uongo

Mpaka sasa wananchi wengi na wasomi wa nchi hii wako nyuma ya Dr. Slaa, na Mungu pia yuko pamoja nasi, wakitaka CCM na serikali yake wasifike 2015 madarakani embu wamfunge huyo Slaa, Tena nchi itakuwa haitawaliki pamoja itabidi ulinzi uongezwe kwa kila mwana CCM.

Wanachotaka kufanya ni propaganda za kawaida, ni katika harakati za kukwepa kwenda ICC.

Peoples Power!!!!!!!!!!!!!
 
naomba mungu kikwete afanye hvo ndo atahakikishia watanzania na dunia nzima kwamba kweli hakushinda uchaguzi wa urais nov. nakuhakukushua patanuka tanzania hiiii stupid president
 
What can Nigeria do to live up the promise of its postcolonial dream? First, we will have to find a way to do away to do away with the present system of political godfatherism. This archaic practice allows a relative handful of wealthy men - many of them half-baked, poorly educated thugs - to sponsor their chosen candidates and push them right through to the desired political position, bribing, threatening and, on occasion, murdering any opposition in the process.

Source: Chinua Achebe, New York, 15 January 2011
 
Tunasubiri kwa hamu wamfunge rais wetu tuingie barabarani tuwaondoe mafisadi na ufisadi wao,mandela alifungwa miaka 27 akatoka na muujiza wa urais,mabadiliko yana gharama na sisi tupo tayari kulipia gharama hizo hata ikibidi kufungwa jela,,we will nevel let any obstacles to stop our cause......
 
imekula kwenu ccm na arafat.ndo utajua inteligensia ya chadema ni ishu tofauti.pipooozzz!

mkuu ukishajua kosa kuna njia mbili za kufanya
1. kuomba radhi kwa wahusika
2. kutengeneza uongo ili uonekane unaonewa

Ukiwa na FURAHA au SHIDA usikurupuke kufanya Maamuzi
 
CCM hawasomi alama za nyakati....nyakati za kuongoza kondoo zimeisha sa hv watu wameamka na wasijidandanye eti watanzania bado ni mbumbumbu wa kutojua ukweli na uongo...tena wawe care na njama yao kuhusu rais wa watz Dk. Slaa mana wakijiloga kumfunga tu, nchi itawaka moto na sijui wao na familia zao watakimbilia wapi. Problem ya viongozi wetu ni wabinafsi na walafi kwa sababu wanataka mambo yote mazuri yawe ya kwao, magari mazuri, nyumba nzuri, wanawake wazuri na dili zote na tender mbalimbali ziwe zao na famalia zao. watanzania tunasema huu ni muda wa kila mtanzania kuifaidi nchi yake siyo watu wachache.


ALUTA CONTINUA
 
Wakilifanya hilo wahakikishe wameshachagua nchi za kukimbilia,kwani ndio watajua kuwa dr.Slaa ndie raisi wa Tanzani,hadi 2015 atakavyozama mjengo mweupe.:amen:
 
Watangaze eti dr slaa ...nyoko.. afu waone. degree yangu ya blasting naenda kulipua magogoni. hatutaki ujinga cc. alaaaa fools
 
Kwa viwango vyovyote itakuwa mbinu yenye hasara kwa CCM na serikali yake
 
Asubuhi hii katika kupitia magazeti tofauti tofauti, nimekutana na habari na mawazo tofauti, Moja ya habari ni ile ya ''Dr Slaa afanyiwa njama za kufungwa'' source Tanzania daima.. na ukiangalia content ya habari na sababu za kutaka kufungwa kwa Dr ni kwamba ametoa matamko ya uchochezi kwa umma wakati wa mkutano Arusha.. yote ni kuhusu serikali iliyopo eti anawapa wananchi mawazo na fikra za kuchukia serikali na uongozi wake uliopo.

Hivi karibuni waislam pale Karimjee wametoa tamko lao rasmi kuhusu tamko la maaskofu waliokuwa wanakemea mauaji ya Arusha. na waislam hawa wameonyesha dhahiri suala la udini ndani yake kwa kutamka hadharani kuwa walichokifanya maaskofu ni udini na si suala la kitaifa. na wakatoa mifano ya Pemba na Mwembechai vurugu za miaka ya nyuma.. hapa wanahoji kwanini maaskofu hawakulaani?.. Mashekhe wale wamefikia mahalia na kuonyesha suala la mgawanyo eti waislam wawe na mikoa yao na wakristo wawe na yao..
Hivi huu si uchochezi, hivi huu si uvunjwaji wa amani? kwanini katika hili afikiriwe Dr Slaa kufungwa eti amechochea uvunjwaji wa amani , Je hawa mashekhe wanaposamambaza huu udini kwa umma wakati nchi iko tulivu si uchochezi? kwanini nao wasifunguliwe mashtaka ya kufungwa kwa kuwa wanachochea umma kwenye masuala ya Udini?


Nionavyo.. tunakoelekea ni kubaya, viongozi wetu wanaridhika na upandikizwaji wa chuki katika nchi yetu.. suala la udini halina ukubwa hivyo kama linavyokuzwa na viongozi wa dini.
 
Nadhani hawa sisiem kuna kitu wanakitafuta,nawatakiapata hicho kitu.hakuna mtanzania yoyote mwenye akili timamu atakaye kubali Dr.slaaa (Phd) afungwe kwa sababu tu za kipuuzi.Yatatokea ya tunisia hapa muda si mrefu.
 
avatar25721_1.gif
 
Sina cha kuandika kuhusiana na mada hii,ila ninayo mengi ya kufanya endapo Dr Slaa atafungwa...
 
Nionavyo mimi, haya yote kama yakifanyika ni kwa mapenzi ya Mungu ili nchi ikombolewe kutoka kwenye mikono ya mafisadi.
Hakuna ukombozi wa kweli bila kupitia mateso.
 
hahahahhhhhhhhhhhh kilichotokea tunisia sio kukimbia tu kwa rais, bali wananchi wataka maisha bora na ajira, salama ya ccm sio kumfunga slaa bali kutimiza matakwa ya wananchi na wala sio starehe zao wenyewe, nawatabiria kutoka kwa aibu ikulu kwani watakua kama wagonjwa wa kipindu pindu kila mtu ataogopa kushirikiana nao akihisi naye ataambukizwa. tunisia watu wmejivua uanachama but haitoshi, wananchi wanasema kujitoa kwenye chama sio usafi. najiuliza police sasa ni chama cha siasa? waombe usajili kwa tendwa. nazidi kulichukia jeshi hili kabisaaaaaaaaaaaaaaa kwa kukubali kuwa watumwa wa siasa na sio wananchi.
 
Kwasababu CCM wanaona umbali wa pua zao wanaweza kutimiza lengo hilo bila kujua gharama la hilo jaribio au utekelezaji wake!
 
Back
Top Bottom