Dk Salim, Nchimbi, Tibaijuka waula CCM

Dk Salim, Nchimbi, Tibaijuka waula CCM

Hatapitia chama gani?????.kama ccm si walisema ni mwarabu???????????.Kumhusisha na kashfa nyingi.CCM wanashindwa kujua ,watanzania sasa hivi hatuangalii mtu .tatizo ni mfumo wa chama cha magamba na sio mtu.Kikwete alikuja na "hali mpya na kasi mpya"watu wakasema kweli sasa tumepata rais.kumbe "hali duni kasi zero.ccm ni chama cha kifalme.wanajua nani watamweka kuwa waziri,na vyeo vingine.kwa hiyo wasipoteze muda kuangalia mtu gani wamweke.watanzania tunataka watoke madarakani tuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.sio kulembesha hapa.
 
ndoto huwa ni matokeo ya kazi nyingi za mchana kuna jamaa alikuwa anaota anaongea na mungu akizinduka anawasimulia washikaji zake kile alichokuwa anaongea na mungu, alipofariki marafiki zake waka-compile zile ndoto wakaita korani, matokeo hasi ya hizo ndoto dunia yote inayashuhudia, chungulia afghanistan ukikutwana tv set unafungwa ukikutwa na AK47 unaonekana raia mwema, kwa hiyo ndoto sio kitu kizuri na hazifai kusimuliwa.
naona mkuu bila ya kumtukana Mtume Muhamad (S.A.W) nafsi yako haijaridhika kabisa. Are you happy now?
 
Habari wakuu wa jamvi...
usiku wa kuamkia leo nimeoteshwa kuwa CCM katika uchaguzi ujao 2015 wanamsimamisha ndugu salim ahmed salim na atashinda kuwa rais wetu ajaye..

baada ya kuamka nikaanza kutafakali nikaona inaweza kuwa kweli ndoto yangu ikatimia kwa sababu zifuatazo:
1. Salim. A.S hana kashifa yoyote kama viongozi wengine wanaotajwa kutaka kugombea
2. Kuchaguliwa kwake ktk CC kuna mpa nafasi kubwa.
3. Marais wa awamu mbili zilizopita wote wametoka bara hivyo sasa ni zamu ya ZNZ
umesahau kwamba aliambiwa kwamba alishiriki kumuua Rais Karume?
 
naona mkuu bila ya kumtukana Mtume Muhamad (S.A.W) nafsi yako haijaridhika kabisa. Are you happy now?

truth is a bitter pill to swallow, whenever i speak the truth i rejoice. you may call it insult but the truth will remain baby.
 
Back
Top Bottom