Dk. Possi: Nimejiuzulu

Nawaeleza kila siku humu ndani. ..acheni ubishi tufanye biashara. .bali wao ni kulalamika na maandishi marefu na points zisizo leta mkate mezani. ...mitusi kibao. ..
 
Ngoja nikae vizuri na wahindi wangu
 
hapa ni nia njema ya mtu vs katiba kinachoendelea nchi inaobgozwa na nia njema na utashi wa mtu na sio kwa kufuata katiba na sheria
 
Mkuu idadi itabaki vilevile kivipi wakati amejiuzulu? Idadi itapungua mkuu!! Chenga ya mmepigwa chenga ya mwili.
 
..
Kikatiba,idadi ya wabunge walikokwisha teuliwa na Raisi inapungua au inabaki pale pale?

Obviously inapungua. Ila kama ataendelea kuteua, itabidi sasa wawe kinamama tena wasiozidi watatu.

Hawa jamaa walichemka ila sasa wanazidi kutia aibu. Huyu Possi kaambiwa ang'oke tu ili kuficha aibu na sio eti "itakuwa uroho kung'ang'ania ubunge"
 
JF ni kiboko kwa ufukunyuku
 
Nawaeleza kila siku humu ndani. ..acheni ubishi tufanye biashara. .bali wao ni kulalamika na maandishi marefu na points zisizo leta mkate mezani. ...mitusi kibao. ..
Mkuu unamiliki kiwanda gani hapo kwako? Acha uchizi wewe ngoja na wachina waje wagome kuleta viwanda 200 vilivyoadiwa tutakimbilia wapi maana nishati tu shida mnakera kishenzi
 
Wewe nae huwa sikuelewi km magu tu
 
Labda tusaidiane kidogo. Bush aliposema Sadam ana silaha za nyuklia alikosea au hakukosea. Mwinyi alipompandisha Mrema kuwa Naibu Waziri Mkuu, alikosea hakukosea. Mkapa aliponzisha kampuni ilikiwa na anuani ya Ikulu alikosea hakukosea. Mseveni anapopandisha na kuwapa madaraka mkewe na watoto wake anakisea hakosei. Kibaki alipojiapisha ikulu harakaharaka baada ya kugeuza matokeo ya kura je.
Ukimaliza hayo na mengine meeengi, laumu hili.
 
Hakuna appointment with replacement! Hakuna, legislature ingelikuwa na nia hiyo ingelitaja kabisa maana hilo sio jambo dogo kuwa mtu anakuwa na infinite number of appointees by way of replacement! Kuna watu watawajibishwa kwa kuvunja katiba, time will tell!
 
Watu wazima wameshaelewa kama mkuu alichemka!
nani alikuwa hajui kama ili ionekana hajakosea itabidi ajiuzuru?
 

Mkuu unategemea viwanda?
 
Wacha apunguze mrundikano mjengoni
 
 
Mkuu heri ya mwaka mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…