Moringe Sokoine1
Member
- Sep 5, 2015
- 80
- 73
Magufuli ni Chaguo langu kwani nimemuona akifanya kazi, historia yake inajieleza ni kama waswahilo wanavyosema kua kizuri chajiuza kibaya chajitembeza. Magufuli ambekua chema,Watanzania wanataka mtu atakaewafanyia kazi kwa moyo wa dhati na atakaye waletea maendeleo. Hivyo nitamchagua magufuli ili niipate tanzania mpya
Tanzania nchi yangu, CCM chama changu, Magufuli ndio kura yangi na baada ya kuapishwa atakua ndie Rais wangu. Sababu ya kumchagua ni kwa vile ni mchapakazi, muadilifu, mfuatiliaji, na huyu ni aina ya kiongozi ambaye tunamtaka kwa sasa. Tunahitaji kwenda mchaka mchaka wakati wengine wanatembea
tatizo la magufuli ni mmoja tu ...... Siyo presidential material!!!
Ccm ni najisi. Hakuna alie jump akawa msafi.
ukitaka kupatia kwa kuwa ni kampeni weka kila kashfa ulizotoa against zile za lowasa.Uadilifu wa Magufuli unapatikana kwenye nini? Kuuza nyumba za serikali? Kuwa mistreat wakandarasi? Kuiba bilions, kujenga barabara chini ya kiwango? Kujenga Kanisa kijijini kwao kaa pesa ya serikali? Mna mtindio nyie sio bure