Magufuli anapenda sana promo kila alipo na camera.
Kuna misiba mingapi na ajli za mabasi hajawahi kuhudhuria?
Watumishi wangapi wizaran kwake hajawahi kuwepo.?
Huu ni ufisadi wa aina yake anaufanya Kenya na Odinga family. achunguzwe.
Mbowe hajaja huko?
Ndiyo tunakoelekea si umeshasiki huu usemi: "Raisi ajae asitoke kaskazini".