Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,312
huku kwetu Tanesco wamefanya mambo..
Inasikitisha sana......! Hivi taarifa kuhusu sababu ya kifo cha Fidel zimetolewa?!
Heshima mbele wakuu!
Ninaangalia ibada ya mazishi ya mwane Raila Odinga Fidel Castro Odinga kwa mbali namuona ndugu Jonh Pombe Magufuli amekaa pembeni mwa Morgan Changirai wa Zimbabwe!
Urafiki wenu ni nzuri.
Anahudhulia=Anahudhuria
Ataiwakirisha=Ataiwakilisha