Dkt. Magufuli anahudhuria mazishi ya mtoto wa rafiki yake kipenzi na Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga aitwaye Fidel Odinga yanayofanyika huko Bondo, Kisumu, Kenya.
Dk.Magufuli aliguswa na msiba huo wa Fidel Odinga aliyekuwa rafiki mkubwa wa familia.
Aidha inataarifiwa kuwa Dk.Magufuli ataiwakilisha serikali ya Tanzania kuhudhulia msiba huo.
View attachment 217440
Dk.Magufuli akisalimiana na Fidel Odinga enzi za uhai wake pembeni ni Ida Odinga mama Mzazi

Dk.Magufuli akiongonzwa na Mwenyeji wake Raila Odinga alipokuwa anawasili

Dk.Magufuli akionyeshwa mwili wa Fidel Odinga

Raila Odinga akifanya sara ya kuomba

Dk.Magufuli akifanya sala ya kuomba

Morgan Richard Tsvangirai X-PM Zimbabwe



Mjane wa Milton Obote

Kushoto Kalonzo Musokya aliyewahi kuwa makamu wa pili wa Rais Kenya
Nitawajuza zaidi kadri taarifa nitakavyozipata.
RIP Fidel Castro Odinga
Source: Own Source
Dk.Magufuli aliguswa na msiba huo wa Fidel Odinga aliyekuwa rafiki mkubwa wa familia.
Aidha inataarifiwa kuwa Dk.Magufuli ataiwakilisha serikali ya Tanzania kuhudhulia msiba huo.
View attachment 217440
Dk.Magufuli akisalimiana na Fidel Odinga enzi za uhai wake pembeni ni Ida Odinga mama Mzazi

Dk.Magufuli akiongonzwa na Mwenyeji wake Raila Odinga alipokuwa anawasili

Dk.Magufuli akionyeshwa mwili wa Fidel Odinga

Raila Odinga akifanya sara ya kuomba

Dk.Magufuli akifanya sala ya kuomba

Morgan Richard Tsvangirai X-PM Zimbabwe



Mjane wa Milton Obote

Kushoto Kalonzo Musokya aliyewahi kuwa makamu wa pili wa Rais Kenya
Nitawajuza zaidi kadri taarifa nitakavyozipata.
RIP Fidel Castro Odinga
Source: Own Source
Last edited by a moderator: