Dk. Hassan Kitine dhidi ya Upson Mwang'onda kuelekea 2015

Hakuna usalama wa taifa bongo hii pale kumejaa wachuuzi tu wa kawaida,kila mtu ni msaka tonge sasa kwa mazingira hayo hata usalama wenyewe upo wapi hapo?
Kaka, bila shaka utakuwa nje ya nchi. Ila nikuhakikishie kuwa Tanzania ipo salama zaidi kuliko nchi nyingine ya Afrika ya Mashariki kutokana na uimara wa TISS. Tuwapingeze na kuwatia moyo na si hizi kejeli zenu. Au ni hasira ya kunyimwa uraia pacha?
 
Wewe kaka una hasira sana. Kwani haiwezekani ukajibu quotation ya mtu mwingine? Na je ni vipi mjadala utaendelea kama unataka kila hoja ijibiwe na aliyeulizwa. Hoja za humu nyingi ni za general. Kila mtu anaweza kujibu. Kama Lizaboni angeulizwa specific issue kama ana umri gani, hapo nisingeingia

Nilitaka uhakika tu maana ni kama umejiridhisha kabisa kuwa mimi nachukia madudu ya hao uliowataja yakisemwa. Ndio maana nikauliza na bado nina hamu ya kujua umejiridhishaje juu ya hilo!!!!

Mimi ni muumini wa mtu kuishi kwa historia yake yaani mi ma rangirangi sio mpango wangu, yaani sipendi "mtu wa njano"
 
Wakuu katika hali ambayo si ya kushangaza sana, wiki hii tumeona two heavyweights waliokuwa wakuu wa TISS wanatia uzito wao kwenye uchaguzi 2015.

Inaanza kuonekana wazi kuwa kwa sasa ni kama ndoto ya Urais ya Kitine imeyeyuka kabisa, baada ya kufanyiwa zengwe huko nyuma. Kwa hiyo ni kama sasa anataka kuweka uzito wake, na kusema ni nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania, na nani hafai. Alieleza mambo kama sita au saba hivi ambayo ukiyatafisri unaoweza kuona yanamlenga kabisa mtu fualni, na unaweza kuhisi kuwa he is a bitter opponent of EL's bid (this is my personal view, he did not say that). Been asking whether he is doing this just to pave a way for a candidate who he knows will help him deal with waliomfitini, or it is for the good of Tanzania.

On the other hand, it is becoming increasingly obvious that Mzee Mwang'onda has thrown all his weight on EL's bid for reasons that not many know. Sidhani kama inaweza kuwa ni uchungu wa mwanaye kuzuia na baadhi ya watu uliofanya kushindwa kupanda rank ndani ya CCM, au kuna picha kubwa anayofikiria ambayo anadhani inaweza kutekelezakea EL akiingia madarakani.

Lakini hii kidogo inanifanya nijiulize kama kweli TISS hawana moja wanachojua kuwa wanataka rais wa namna fulani. Yaani hawajui as institution, which candidate will enable them to be a 21st Intel agency, that can match or surpass regional intel agencies, au watakuwa happy kuwa na kiongozi ambaye ataifanya idorore na kuwa last before Somalia.

Kwa mtaji huu inaelekea TISS inaanza kuwa politicised kwa kuwa na utendaji unaotokana na personal allegiencies. Hii ni hatari kwa taifa na utendaji wa taasisi yenyewe.
Nakubaliana na msimamo wa MTAZAMO

Tatizo ni kutoaminiana tu ....... kama idara lazima wanajua ukweli halisi na weakness ya kiutawala na mtu wa aina gani anafaa .......lakini hata hao wakuu sidhani kama wanaweza kuamini taarifa kutoka huko ili wasimamie taarifa hizo zenye takwimu za kiweledi ....... hawa walipaswa kuitwa kupewa facts za hapa tulipo kama taifa ili nao watoe mchango wao then wakae kimya ........... misimamo yao mwisho wake ni kugawa taifa tu ........
 
Last edited by a moderator:
Mkuu sijasiki lolote kuhusu suala hili kwenye mjadala wa katiba, liko kimya kabisa kana kwamba loko sawia na halihitaji marekebisho.

Sababu tumewaachia nchi wanasiasa nao wanafanya yao kwa mujibu wa siasa zao binafsi na vyama vyao!!!
 
Huyo anaitwa Hans na si Hassan na huyo mwingine ni Apson na si Upson.Hao wazee watulie kwa sasa ila ukiangalia kisiasa naona mzee Hans bora amuunge mkono Lowasa kuliko kambi ya Membe.
 
Wakuu katika hali ambayo si ya kushangaza sana, wiki hii tumeona two heavyweights waliokuwa wakuu wa TISS wanatia uzito wao kwenye uchaguzi 2015.

Inaanza kuonekana wazi kuwa kwa sasa ni kama ndoto ya Urais ya Kitine imeyeyuka kabisa, baada ya kufanyiwa zengwe huko nyuma. Kwa hiyo ni kama sasa anataka kuweka uzito wake, na kusema ni nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania, na nani hafai. Alieleza mambo kama sita au saba hivi ambayo ukiyatafisri unaoweza kuona yanamlenga kabisa mtu fualni, na unaweza kuhisi kuwa he is a bitter opponent of EL's bid (this is my personal view, he did not say that). Been asking whether he is doing this just to pave a way for a candidate who he knows will help him deal with waliomfitini, or it is for the good of Tanzania.

On the other hand, it is becoming increasingly obvious that Mzee Mwang'onda has thrown all his weight on EL's bid for reasons that not many know. Sidhani kama inaweza kuwa ni uchungu wa mwanaye kuzuia na baadhi ya watu uliofanya kushindwa kupanda rank ndani ya CCM, au kuna picha kubwa anayofikiria ambayo anadhani inaweza kutekelezakea EL akiingia madarakani.

Lakini hii kidogo inanifanya nijiulize kama kweli TISS hawana moja wanachojua kuwa wanataka rais wa namna fulani. Yaani hawajui as institution, which candidate will enable them to be a 21st Intel agency, that can match or surpass regional intel agencies, au watakuwa happy kuwa na kiongozi ambaye ataifanya idorore na kuwa last before Somalia.

Una hamu na kiingereza
 
Tatizo ni kutoaminiana tu ....... kama idara lazima wanajua ukweli halisi na weakness ya kiutawala na mtu wa aina gani anafaa .......lakini hata hao wakuu sidhani kama wanaweza kuamini taarifa kutoka huko ili wasimamie taarifa hizo zenye takwimu za kiweledi ....... hawa walipaswa kuitwa kupewa facts za hapa tulipo kama taifa ili nao watoe mchango wao then wakae kimya ........... misimamo yao mwisho wake ni kugawa taifa tu ........

mkuu ushauri wako ni mzuri lakini mimi nawashauri usalama wa taifa kuwa waendelee kufanya kazi kwa ukimya wao bila kutangaza au kuwa wazi hata hawa wastafu wanaohongwa na wanasiasa kama hawasemi siri za nchi wajaribu kuwapuuza tu lakini kama watabainika kutoa siri za nchi na kuathiri utendaji wa serikali nashauri wawatungue tu.
 
….wewe unawaona wanasaka tonge , lakini hiyo ni ILLUSION kwako , kwa wenye taaluma yao wako kazini kuhakikisha wewe na mkeo /mmeo watoto kama unao muweze kulala na kuamka salama.Try to appreciate sometimes.
 
Huyo anaitwa Hans na si Hassan na huyo mwingine ni Apson na si Upson.Hao wazee watulie kwa sasa ila ukiangalia kisiasa naona mzee Hans bora amuunge mkono Lowasa kuliko kambi ya Membe.
Kambi ya Membe wao wamejikita kwenye kuchafua watu zaidi mbinu zao ni Analogia sana ! Mzee wa ipp,Sita ,dr kigwangwala na wenzao waliojificha lakini wanajulikana mbinu zao ni za kupakaziana Uongo uzushi ni kambi ya Shiiida ! Wamesahau Madhambi Yao ,Mzee wa ipp aliifirisi NBC hadi ikajakuokolewa na Uwekezaji,Pia pesa za misaada juu ya waaathirka wa Ukimwi alizifisadi kijanja huku Membe Akiwa amezimeza Pesa za Marehemu Ghadaf akitarajia kuzitumia kuingia ikulu akina Sita Nao wana madhambi Yao mengi tu kwa leo Ngoja tuyaweke Viporo
 
Kambi pinzani ya Lowasa yaani kambi ya Membe wao wamebuni mbinu za kuchafua watu,lakini wamejisahau Kuwa wao Pia si Wasafi wana kasoro kibao,mapungufu Yao hayana mfano,itabidi A/c za Ghadaf zichunguzwe pesa ilipelekwa wapi? Pia wapambe nao wasijione ni maraika kwani Uovu wao unajulikana, hii siasa ya maji Taka haitamsaidia Membe kuingia ikulu asijidanganye kabsa, anapaswa ajue ikulu si mahala pa kwenda kujifunzia Urais na panahitaji mtu mwenye mvuto,mchapa kazi na kujiamini .
 
Wakuu katika hali ambayo si ya kushangaza sana, wiki hii tumeona two heavyweights waliokuwa wakuu wa TISS wanatia uzito wao kwenye uchaguzi 2015.

Inaanza kuonekana wazi kuwa kwa sasa ni kama ndoto ya Urais ya Kitine imeyeyuka kabisa, baada ya kufanyiwa zengwe huko nyuma. Kwa hiyo ni kama sasa anataka kuweka uzito wake, na kusema ni nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania, na nani hafai. Alieleza mambo kama sita au saba hivi ambayo ukiyatafisri unaoweza kuona yanamlenga kabisa mtu fualni, na unaweza kuhisi kuwa he is a bitter opponent of EL's bid (this is my personal view, he did not say that). Been asking whether he is doing this just to pave a way for a candidate who he knows will help him deal with waliomfitini, or it is for the good of Tanzania.

On the other hand, it is becoming increasingly obvious that Mzee Mwang'onda has thrown all his weight on EL's bid for reasons that not many know. Sidhani kama inaweza kuwa ni uchungu wa mwanaye kuzuia na baadhi ya watu uliofanya kushindwa kupanda rank ndani ya CCM, au kuna picha kubwa anayofikiria ambayo anadhani inaweza kutekelezakea EL akiingia madarakani.

Lakini hii kidogo inanifanya nijiulize kama kweli TISS hawana moja wanachojua kuwa wanataka rais wa namna fulani. Yaani hawajui as institution, which candidate will enable them to be a 21st Intel agency, that can match or surpass regional intel agencies, au watakuwa happy kuwa na kiongozi ambaye ataifanya idorore na kuwa last before Somalia.
Ukipima Uzito Kati ya Lowasa na Membe jibu ni Membe uzito wake ni mwepesi sana ndio Maana amejikita kwenye mbinu za Analogia kuchafua watu akidhani Kuwa iatamsaidia kuingia ikulu, membe si msafi ana mapungufu mengi na skendo kibao watu wanazijua zote lakini wameamua kutulia kwanza mpaka atape tape vya kutosha kisha waanike Maovu yake live tena dk za mwisho mwakani ndipo atavuna mshahara wa mbinu zake na kujua faida ya mbinu za kuchafuana.
 
Jamani tusilete siasa kwenye ulinzi wa nchi yetu , JWTZ na TISS kwa kweli wametupa heshima Africa , kuwa na support ndani ya ccm ni step moja ...lakini support ya TISS n muhimu kwa mgombea yeyote wa urais especially Tanzania .
 
Mkuu MTAZAMO, nchi yetu imeoza. Si ajabu hata hao watu wa usalama wa Taifa wanaangalia ni kwa Rais yupi ajaye wataweza kutajirika zaidi huku huyo Rais mtarajiwa akiangalia pembeni. Kama kungekuwa na taasisi ya kweli kusimamia usalama wa Taifa basi haya madudu yote yanayotokea EPA, ESCROW, Rada, utoroshwaji wa wanyama, mabilioni ya Uswiss n.k. Lowassa angetaka kuwahakikishia Watanzania kwamba kama atachaguliwa kuwa Rais maslahi ya nchi yatapewa kipaumbele na hivyo kucheza mbali na watu kama Apson Mwang'onda ambaye alichangia sana kushamiri kwa ufisadi katika awamu ya fisadi Mkapa kama Mkuu wa kitengo cha usalama wa Taifa. Kwa kuamua kujihusisha na huyu inatoa picha kama Lowassa atachaguliwa basi ufisadi na rushwa vitaendelea kama kawa.

Tatizo ni kutoaminiana tu ....... kama idara lazima wanajua ukweli halisi na weakness ya kiutawala na mtu wa aina gani anafaa .......lakini hata hao wakuu sidhani kama wanaweza kuamini taarifa kutoka huko ili wasimamie taarifa hizo zenye takwimu za kiweledi ....... hawa walipaswa kuitwa kupewa facts za hapa tulipo kama taifa ili nao watoe mchango wao then wakae kimya ........... misimamo yao mwisho wake ni kugawa taifa tu ........
 
Mkuu MTAZAMO, nchi yetu imeoza. Si ajabu hata hao watu wa usalama wa Taifa wanaangalia ni kwa Rais yupi ajaye wataweza kutajirika zaidi huku huyo Rais mtarajiwa akiangalia pembeni. Kama kungekuwa na taasisi ya kweli kusimamia usalama wa Taifa basi haya madudu yote yanayotokea EPA, ESCROW, Rada, utoroshwaji wa wanyama, mabilioni ya Uswiss n.k. Lowassa angetaka kuwahakikishia Watanzania kwamba kama atachaguliwa kuwa Rais maslahi ya nchi yatapewa kipaumbele na hivyo kucheza mbali na watu kama Apson Mwang'onda ambaye alichangia sana kushamiri kwa ufisadi katika awamu ya fisadi Kikwete kama Mkuu wa kitengo cha usalama wa Taifa. Kwa kuamua kujihusisha na huyu inatoa picha kama Lowassa atachaguliwa basi ufisadi na rushwa vitaendelea kama kawa.
Mkuu, kwa taarifa nilizonazo ni kwamba Apson Mwang'onda alikuwa mkurugenzi Mkuu wa TISS kuanzia 1996 hadi 2006. Kikwete ameingia Madarakani mwishoni mwa mwaka 2005. Hivyo ni makosa na kukosa ufahamu kusema kuwa Apson ndiye Engineer wa Ufisadi wakati wa Utawala wa Kikwete.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu, binafsi naamini kuwa TISS kama taasisi inaundwa na watu ambao wanakuwa na utashi wao kisiasa. Ni sawa na TFF. Wote wanaochaguliwa kuongoza TFF wanaweza kuwa na mapenzi na ama na Simba au Yanga. Ila miiko ya kazi inawwfanya waweke pembeni mapenzi yao. Vivyo hivyo kwa TISS. Naamini kuwa wapo wenye mapenzi na CCM na wengine Upinzani. Ila inavyokuja kwenye suala la kazi, naamini kuwa mapenzi ya vyama yanakaa pembeni. Kumbuka kuwa watumishi wa TISS hawajaletwa toka mbinguni. Wamezaliwa Tanzania kwenye jamii ya kitanzania na wanaishi na watanzania kwa vile wao ni watanzania na siasa za Tanzania zinawasthiri

Sawa Mohd
 
Ahsante sana Mkuu kwa masahihisho hilo la kutokuwemo kwenye awamu ya nne kwa muda mfupi nalijua vidole viliteleza nilitaka kuandika fisadi Mkapa, shukrani.

Mkuu, kwa taarifa nilizonazo ni kwamba Apson Mwang'onda alikuwa mkurugenzi Mkuu wa TISS kuanzia 1996 hadi 2006. Kikwete ameingia Madarakani mwishoni mwa mwaka 2005. Hivyo ni makosa na kukosa ufahamu kusema kuwa Apson ndiye Engineer wa Ufisadi wakati wa Utawala wa Kikwete.
 
Back
Top Bottom