Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,198
Wakuu katika hali ambayo si ya kushangaza sana, wiki hii tumeona two heavyweights waliokuwa wakuu wa TISS wanatia uzito wao kwenye uchaguzi 2015.
Inaanza kuonekana wazi kuwa kwa sasa ni kama ndoto ya Urais ya Kitine imeyeyuka kabisa, baada ya kufanyiwa zengwe huko nyuma. Kwa hiyo ni kama sasa anataka kuweka uzito wake, na kusema ni nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania, na nani hafai. Alieleza mambo kama sita au saba hivi ambayo ukiyatafisri unaoweza kuona yanamlenga kabisa mtu fualni, na unaweza kuhisi kuwa he is a bitter opponent of EL's bid (this is my personal view, he did not say that). Been asking whether he is doing this just to pave a way for a candidate who he knows will help him deal with waliomfitini, or it is for the good of Tanzania.
On the other hand, it is becoming increasingly obvious that Mzee Mwang'onda has thrown all his weight on EL's bid for reasons that not many know. Sidhani kama inaweza kuwa ni uchungu wa mwanaye kuzuia na baadhi ya watu uliofanya kushindwa kupanda rank ndani ya CCM, au kuna picha kubwa anayofikiria ambayo anadhani inaweza kutekelezakea EL akiingia madarakani.
Lakini hii kidogo inanifanya nijiulize kama kweli TISS hawana moja wanachojua kuwa wanataka rais wa namna fulani. Yaani hawajui as institution, which candidate will enable them to be a 21st Intel agency, that can match or surpass regional intel agencies, au watakuwa happy kuwa na kiongozi ambaye ataifanya idorore na kuwa last before Somalia.
Inaanza kuonekana wazi kuwa kwa sasa ni kama ndoto ya Urais ya Kitine imeyeyuka kabisa, baada ya kufanyiwa zengwe huko nyuma. Kwa hiyo ni kama sasa anataka kuweka uzito wake, na kusema ni nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania, na nani hafai. Alieleza mambo kama sita au saba hivi ambayo ukiyatafisri unaoweza kuona yanamlenga kabisa mtu fualni, na unaweza kuhisi kuwa he is a bitter opponent of EL's bid (this is my personal view, he did not say that). Been asking whether he is doing this just to pave a way for a candidate who he knows will help him deal with waliomfitini, or it is for the good of Tanzania.
On the other hand, it is becoming increasingly obvious that Mzee Mwang'onda has thrown all his weight on EL's bid for reasons that not many know. Sidhani kama inaweza kuwa ni uchungu wa mwanaye kuzuia na baadhi ya watu uliofanya kushindwa kupanda rank ndani ya CCM, au kuna picha kubwa anayofikiria ambayo anadhani inaweza kutekelezakea EL akiingia madarakani.
Lakini hii kidogo inanifanya nijiulize kama kweli TISS hawana moja wanachojua kuwa wanataka rais wa namna fulani. Yaani hawajui as institution, which candidate will enable them to be a 21st Intel agency, that can match or surpass regional intel agencies, au watakuwa happy kuwa na kiongozi ambaye ataifanya idorore na kuwa last before Somalia.