Dk Bashiru: Vyama vya upinzani vitakufa kimoja baada ya kingine

Amesahu Kuwa vyama vya upinzani haviuwawi na maneno! Kibaya zaidi atakufa yeye na vyama upinzani vitabaki
 
Kama anaamini kuwa Watauwa Upinzani, anapoteza muda kabisa. Kama hiyo Kauli yake Ingekuwa sawa, basi tulitaraji Uchaguzi huu wa SM ndiyo ungekuja Kuwa Kipimo bora. Kiuhalisia, CCM haipendwi na Kazi iliyopo ni Kulazimisha tu Kupitia Majeshi ya Nchi!

Kama wanajiona Wapo Strong kwanini Watumie Majeshi? Usomi wa wapumbavu saana wa wakina Bashiru hawa.
CCM ilimfia Kikwete, Upinzani umebakia kupambana na JPM, Mahakama, Bunge, Tume ya Uchaguzi, Msajili wa Vyama vya Siasa, majeshi yote ya Tz.
 
Katibu mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amesema vyama vya upinzani nchini Tanzania vitaendelea kufa kimoja baada ya kingine kwa kuwa vinashindwa kufanya siasa vikubalike kwa wananchi.

Ametoa kauli hiyo leo Jumatano Novemba 27, 2019 wakati akizungumza na viongozi wa chama hicho tawala Mkoa wa Kaskazini Unguja.

Amesema baadhi ya vyama hivyo huibuka wakati wa uchaguzi jambo linalovifanya vishindwe kukubalika.

Amesema kwa msingi huo, CCM kitaendelea kuimarika zaidi, akibainisha kuwa udhaifu wa vyama vingi vya upinzani ni kukosa watu sahihi wa kuviongoza.

“Adui wa vyama vya upinzani yupo ndani mwao wenyewe wasitafute mchawi lazima wakubali kubadilika,” amesema Dk Bashiru.


Source: Mwananchi
Nadhani amepatwa na uwendawazimu. Eti vinaibuka wakati wa uchaguzi!! Hajui aliyevizuia visifanye kazi wakati wote?
 
Halafu mapema tu walishasema watahakikisha upinzani haufiki l2020.
Dr ameongea maneno ya kiubaguzi
Hazingatii haki ya upinzani
Hawajaweza na hawataweza hata siku 1 kuwashinda wananchi
Wameonyesha ujasiri wa roho mbaya na ulafi wa madaraka
Hakuna mamna njema ya kuongoza isipokua hila
Matamshi yake ni hatari kwa ustawi na usalama wa taifa
Si kazi ya chama tawala kulinda usalama wa taifa isipokua taasisi zinazosimamia usalama wa taifa
Misingi yao mibovu na sera zisizotekelezeka wanageuza upinzani kuupa picha ya ugaidi
Ni aibu mnoo

Ipo siku hao wanyonge watakua mbogo hata ikiwa ni chini ya utawala usiokua na vyama vya upinzani

Utaona kuwa ni viongozi wa majina tu,ila wamekosa maono na usimazi dhabiti


Swala si upinzani uongoze ila ni namna ipi wananchi wanapata mateso katika utawala wao


Dr awaze mara mbili si kutoa kauli za kizembe
 
Katibu mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amesema vyama vya upinzani nchini Tanzania vitaendelea kufa kimoja baada ya kingine kwa kuwa vinashindwa kufanya siasa vikubalike kwa wananchi.

Ametoa kauli hiyo leo Jumatano Novemba 27, 2019 wakati akizungumza na viongozi wa chama hicho tawala Mkoa wa Kaskazini Unguja.

Amesema baadhi ya vyama hivyo huibuka wakati wa uchaguzi jambo linalovifanya vishindwe kukubalika.

Amesema kwa msingi huo, CCM kitaendelea kuimarika zaidi, akibainisha kuwa udhaifu wa vyama vingi vya upinzani ni kukosa watu sahihi wa kuviongoza.

“Adui wa vyama vya upinzani yupo ndani mwao wenyewe wasitafute mchawi lazima wakubali kubadilika,” amesema Dk Bashiru.


Source: Mwananchi


 
Katibu mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amesema vyama vya upinzani nchini Tanzania vitaendelea kufa kimoja baada ya kingine kwa kuwa vinashindwa kufanya siasa vikubalike kwa wananchi.

Ametoa kauli hiyo leo Jumatano Novemba 27, 2019 wakati akizungumza na viongozi wa chama hicho tawala Mkoa wa Kaskazini Unguja.

Amesema baadhi ya vyama hivyo huibuka wakati wa uchaguzi jambo linalovifanya vishindwe kukubalika.

Amesema kwa msingi huo, CCM kitaendelea kuimarika zaidi, akibainisha kuwa udhaifu wa vyama vingi vya upinzani ni kukosa watu sahihi wa kuviongoza.

“Adui wa vyama vya upinzani yupo ndani mwao wenyewe wasitafute mchawi lazima wakubali kubadilika,” amesema Dk Bashiru.


Source: Mwananchi
Haviwezi kufa kimoja baada ya kingine Bali wataua kimoja baada ya kingine.Ni kweli wataviua ila hawataweza kuua upinzani.
 
Yeye ni katibu wa chama gani wakati ccm iliishatekwa na polisi na wale wanaojiita wasiojulikana. Ccm is a defunct party.
 
Maneno hayo ameyaongea wakati yuko kwenye hedhi.

Hawezi mtu akafanya wanachofanya kwa wapinzani kisha akasema anayosema akiwa timamu
 
Nae huyu chizi kweli ameanza kuwa kama alivyosema bosi wake jiwe alivyokuwa mgeni geni pale ferry nakumbuka alisema watu walizoea kuishi kwa dili baada ya Mimi kuingia madarakani wapiga dili wore mtahama hapa Mjini matokeo yake naona kaanza kuhama yeye nasikia kishahamia dodoma
 
Katibu mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amesema vyama vya upinzani nchini Tanzania vitaendelea kufa kimoja baada ya kingine kwa kuwa vinashindwa kufanya siasa vikubalike kwa wananchi.

Ametoa kauli hiyo leo Jumatano Novemba 27, 2019 wakati akizungumza na viongozi wa chama hicho tawala Mkoa wa Kaskazini Unguja.

Amesema baadhi ya vyama hivyo huibuka wakati wa uchaguzi jambo linalovifanya vishindwe kukubalika.

Amesema kwa msingi huo, CCM kitaendelea kuimarika zaidi, akibainisha kuwa udhaifu wa vyama vingi vya upinzani ni kukosa watu sahihi wa kuviongoza.

“Adui wa vyama vya upinzani yupo ndani mwao wenyewe wasitafute mchawi lazima wakubali kubadilika,” amesema Dk Bashiru.


Source: Mwananchi
Mh.Bashiru Ally,hivi vyama umevikuta ulipoteuliwa kuwa Katibu Mkuu,amini utauacha Ukatibu Mkuu lakini hivi Vyama vitaendelea kuwepo hivyo kuviua haiwezekani sana sana mtawasumbua viongozi wanachama,na wafuasi wao lakini Mungu hulipa hapa hapa duniani.
 
Katibu mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amesema vyama vya upinzani nchini Tanzania vitaendelea kufa kimoja baada ya kingine kwa kuwa vinashindwa kufanya siasa vikubalike kwa wananchi.

Ametoa kauli hiyo leo Jumatano Novemba 27, 2019 wakati akizungumza na viongozi wa chama hicho tawala Mkoa wa Kaskazini Unguja.

Amesema baadhi ya vyama hivyo huibuka wakati wa uchaguzi jambo linalovifanya vishindwe kukubalika.

Amesema kwa msingi huo, CCM kitaendelea kuimarika zaidi, akibainisha kuwa udhaifu wa vyama vingi vya upinzani ni kukosa watu sahihi wa kuviongoza.

“Adui wa vyama vya upinzani yupo ndani mwao wenyewe wasitafute mchawi lazima wakubali kubadilika,” amesema Dk Bashiru.


Source: Mwananchi
Sio watanzania wote ambao watakubaliana na maneno ya kejeli ya Dk Bashiru.
Nimejisikia nimetukanwa, na kulagahiwa na maneno haya...kuwa "Vyama vya siasa hujitokeza wakati wa uchaguzi..."

...na mengine kedekede. Akumbuke kuwa ni CCM kwa kutumia Kofia ya Dola, ambaye ilisitisha Vyama vingine vya siasa kukutana na wananchi kwa sababu za Kiwoga na sintofahamu baada ya kupiga hatua kubwa katika nyanja za siasa shiriki.

Dk, mimi binafsi nimeguswa na hayo na ni uamini wangu kuwa wapo wengine waliopatwa na jazba za kulagahiwa na na maneno hayo ya Kejeli. Mimi sio mpinzani, mimi sina chama, bali ni Mwananchi na ni Mtanzania Jeuri.

Mimi Jeuri kwa vile na jali Jamiii
Mimi Jeuri kwa vile na jali Elimu
Mimi Jeuri kwa vile na jali Utamaduni
Mimi Jeuri kwa vile na jali Rasilimali
Mimi Jeuri kwa vile na jali Imani....za Mtanzania na MwaAfrika
...kwa hayo, pale nitakapo Ona , kusikia,na kuhisia ukandamizaji wa JEURI yangu, kwa haki niliyotanguliziwa na muumba, na Katiba ya nchi yangu basi sinto kaa pembeni na kukubali kufiligiswa na kulagahiwa.

Mtazamo wangu ni kuwa Dk. Bashiru, kaka yangu, haujanitendea haki na kwa JEURI yangu, nikuombe kuacha kulaghai.
Aluta Continua
 
Back
Top Bottom