zimmerman, niko very serious, zile opinion polls za REDET, zimefanya kazi nzuri ya 'trend setter' mwanzilishi sio Dr. Bana, mwanzilishi kashapewa shukrani zake kuteuliwa VC sasa ni zamu ya Bana nae atoke!.
Kama JK hakubaliki, uki set trend kuwa anakubali sana, hata wale wasiomkubali wana change mind na kumkubali! na uthibitisho ndio huo, amechaguliwa tena!.
Kwa vile kwa 2015 mtu wetu ni Lowassa, nawashauri wale kamati yake, mtumieni Dr. Banna kufanya reseach Watanzania wanamtaka nani awe rais ajaye?. Anafanya sampling Monduli kwa Lowassa, Igunga kwa Rostam na Kigoma kwa Serukamba. Then unakuja na matokea "Watanzania asilimia 99.9% wanamtaka Lowassa"!. Hapo unakuwa tayari ume set trend, hata wale waliokuwa hawamtaki wakishasikia ni 99.9 % watajihesabu kumbe wao ndio hiyo 00.1% then watajiona ni wastage, watamsupport Lowassa.