Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,730
- 536
Nimesoma ktk MWANANCHI leo kuhusu sakata la posho mpya za Wabunge na na Ndugai kumshukia Sumaye. MWANANCHI walitaka maoni ya Dk Bana wa UDSM.
Badala ya kutoa maoni yake juu ya 'mzozo' wa Ndugai na Sumaye, Dk Bana amembeza na kumshambulia Sumaye ati anasema hayo kwa kuwa ana uchungu wa kuikosa nafasi ya Urais baada ya kushindwa na Kikwete ktk uchaguzi wa ndani wa CCM!
Najiuliza huu ndio uchambuzi wa Dk, Mhadhiri Mwandamizi wa Siasa UDSM! Kumbe si ajabu NORAD kusitisha ufadhili REDET, Dk Bana is biased!
Badala ya kutoa maoni yake juu ya 'mzozo' wa Ndugai na Sumaye, Dk Bana amembeza na kumshambulia Sumaye ati anasema hayo kwa kuwa ana uchungu wa kuikosa nafasi ya Urais baada ya kushindwa na Kikwete ktk uchaguzi wa ndani wa CCM!
Najiuliza huu ndio uchambuzi wa Dk, Mhadhiri Mwandamizi wa Siasa UDSM! Kumbe si ajabu NORAD kusitisha ufadhili REDET, Dk Bana is biased!