Djigui Diara ni Golikipa mzuri lakini amekuwa na nidhamu mbovu

Djigui Diara ni Golikipa mzuri lakini amekuwa na nidhamu mbovu

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Djigui Diara ni Golikipa Mzuri sana na bora pengine kuliko kipa yoyote wa kutoka nje kuwahi kuja kucheza hapa Tanzania, lakini pia ndiye kipa kutoka nje amekuwa na nidhamu mbovu kuliko ila amekuwa anaruka sana vikwazo.

Mechi na Simba alimfuata mwamuzi kama hivyo kwenye video ya pili, akalambwa kadi ya njano, leo mwamuzi amekuwa wa ajabu anamtishia kwa kadi ambayo hakutoa, uamuzi wa ajabu na kizamani kuliko kawaida.

Katika namna ya kushangaza kabisa alichurupuka kwenye kibano cha Kamati ya masaa 72 baada ya kuonekana akimpiga kiwiko mchezaji wa Mtibwa pale KMC Complex kwenye mchezo wa raundi ya kwanza, leo amemvamia mwamuzi wa kati na Kanuni ya 41:5(5.3) itamfyeka kwa vyovyote.

Nimeangalia goli alilofungisha Diara na kujaribu kujificha kwenye faulo, sioni faulo hiyo alokuwa anaitafuta, mpirani kila ukiguswa ni faulo? Diara akubali makosa maisha yaende arekebishe na tabia zake yeye ni mchezaji wa kawaida kama wengine.

BİN KAZUMARI MTIPA.

 
Matokeo yanamchanganya hakuzoea matokeo mabovu..kwasasa inabidi akubaliane na hali mpaka uongozi utakaposhtuka..Kwasasa Yanga Wanacheza kiwango cha chini sana hata ukiichukua timu kutoka championship inaweza kuishinda au sare.
 
Djigui Diara ni Golikipa Mzuri sana na bora pengine kuliko kipa yoyote wa kutoka nje kuwahi kuja kucheza hapa Tanzania, lakini pia ndiye kipa kutoka nje amekuwa na nidhamu mbovu kuliko ila amekuwa anaruka sana vikwazo.

Mechi na Simba alimfuata mwamuzi kama hivyo kwenye video ya pili, akalambwa kadi ya njano, leo mwamuzi amekuwa wa ajabu anamtishia kwa kadi ambayo hakutoa, uamuzi wa ajabu na kizamani kuliko kawaida.

Katika namna ya kushangaza kabisa alichurupuka kwenye kibano cha Kamati ya masaa 72 baada ya kuonekana akimpiga kiwiko mchezaji wa Mtibwa pale KMC Complex kwenye mchezo wa raundi ya kwanza, leo amemvamia mwamuzi wa kati na Kanuni ya 41:5(5.3) itamfyeka kwa vyovyote.

Nimeangalia goli alilofungisha Diara na kujaribu kujificha kwenye faulo, sioni faulo hiyo alokuwa anaitafuta, mpirani kila ukiguswa ni faulo? Diara akubali makosa maisha yaende arekebishe na tabia zake yeye ni mchezaji wa kawaida kama wengine.

BİN KAZUMARI MTIPA.

IMG-20260321-WA0030.jpg
 
wamezoea kubebwa hii sio mara ya kwanza kufanya hivyo mechi na simba alimtisha mshika kibendera ndio maana alikataa goli halali lakini wakampa man of the match pamoja na kupoteza muda.
Mechi na TRA alirudia hivyohivyo na leo alifanya hivyo.
Mechi ya kwanza na Mtibwa alipiga mtu kiwiko lakini hakufanywa chochote na mchezaji mwingine mwenye tabia mbovu lakini hawazongi waamuzi ni Backa
 
Djigui Diara ni Golikipa Mzuri sana na bora pengine kuliko kipa yoyote wa kutoka nje kuwahi kuja kucheza hapa Tanzania, lakini pia ndiye kipa kutoka nje amekuwa na nidhamu mbovu kuliko ila amekuwa anaruka sana vikwazo.

Mechi na Simba alimfuata mwamuzi kama hivyo kwenye video ya pili, akalambwa kadi ya njano, leo mwamuzi amekuwa wa ajabu anamtishia kwa kadi ambayo hakutoa, uamuzi wa ajabu na kizamani kuliko kawaida.

Katika namna ya kushangaza kabisa alichurupuka kwenye kibano cha Kamati ya masaa 72 baada ya kuonekana akimpiga kiwiko mchezaji wa Mtibwa pale KMC Complex kwenye mchezo wa raundi ya kwanza, leo amemvamia mwamuzi wa kati na Kanuni ya 41:5(5.3) itamfyeka kwa vyovyote.

Nimeangalia goli alilofungisha Diara na kujaribu kujificha kwenye faulo, sioni faulo hiyo alokuwa anaitafuta, mpirani kila ukiguswa ni faulo? Diara akubali makosa maisha yaende arekebishe na tabia zake yeye ni mchezaji wa kawaida kama wengine.

BİN KAZUMARI MTIPA.

Nitashangaa kama huyu mbwa hatopewa adhabu! Alikuwa na nia ya kumkaba refaa hadi amuue! Dhahiri kabisa...! Afungiwe maisha kucheza hapa Tz.
 
Ule uonevu wa wazi kabisa

Jamaa ametumia nguvu sana kumsukuma goli kipa mpaka yeye kaingia kwenye nyavu aisee
 
Kwani mwamuz haruhusiwi kuzongwa? Mbona waarabu wanawazonga sana tu jana mpaka pyramid kanyimwa penalt na mtu kashika kweli kwenye box na refa kazongwa sana tu
 
Shida toka hivi vilabu vikubwa vya Tanzania vilipopata wafadhili wenye fedha za utakatishwaji wakaamua kununua wachezaji wa kigeni ambao hawana lolote kuwazidi wachezaji wazalendo.

Basi na hao wachezaji wanapokuja hapa na kuanza kusifiwa na mashabiki maandazi hujiona wachezaji wa maana wakati hawana lolote na ndio maana wanakuja kucheza Tanzania.

Diarra aliona aibu tu kufungwa na wala hakufanyiwa madhambi yoyote. Kiujumla timu ya Yanga sasa hivi ni timu mbovu kabisa na hata hiyo sare waliyoambulia washukuru tu Mungu.
 
Back
Top Bottom