Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,192
- 46,238
Simfwatiliagi huyo mwamba..IDK much about him.Asante kwa hii...ngoja niisake
Yule ommy kichaa vipi?
Simfwatiliagi huyo mwamba..IDK much about him.Asante kwa hii...ngoja niisake
Yule ommy kichaa vipi?
Dj kajeba...ni hivi,fikiria wewe ni dj kajeba, una wazo la wimbo wako na unamiliki record label inayoitwa 'another hit',huwezi kuimba lakin unaweza kusimamia mchakato mzma mpaka wimbo ukatoka,so unamtafuta maua sama na marioo,mnakubaliana terms za kufanya hyo collabo,wewe ukiwa mmiliki wa wimbo..wao ukiwashirikisha,so wewe ukawa kwenye huo wimbo na kuongea kdogo..'dj kajeba,another hit'...ipo hvyo
Dj kajeba...
Hapa kwetu yupo RJ the DJ (Rommy Jons)Umemsahau ni DJ Snake
David Guetta
Daaah,,nimecheka sanaaahaha hii Dj Kajeba imekubali mkuu
Mfuatilie David Guetta, Avicii,Mike Posner...Soma kwa "MAKINI" wanachokifanya!! Then utapata majibu...Wakuu
Katika vitu visivielewi ni pamoja na uimbaji wa msanii huyu wa marekani anayejiita Dj Khalid
Kila nyimbo aliyomo utaambiwa ni wimbo wake kamshirikisha msanii furani
anachokiimba sasa kwenye huo wimbo wake ahahah ni kituko, nyimbo nzima yeye atasikika mwanzo akisema "Dj Khalid.. Another one" na mwisho humalizia hivyo hivyo hapo anakuwa amemaliza
Dj Khalid! another one
Dj kajeba...
elewa maana ya kushirikiana. Ts all about business. Unaweza hata asitokee kwenye mashairi ya nyimbo ila ikawa Kajeba ft Jay Z.maana ya dj khalid ft Jay z
maana yake ni kwamba dj khalid ameimba kwa kushirikiana na Jay z
au mimi ndio sielewi maana ya featuring?
Mfuatilie David Guetta, Avicii,Mike Posner...Soma kwa "MAKINI" wanachokifanya!! Then utapata majibu...
THREAD CLOSED
afu sio lazima wote tufatilie mziki, fanya mambo mengine mjomba... bora ujiuziage vitumbua maana utamiliki mwenyewe, mziki utakuchanganya sana bro!
ni sawa na ww kumiliki duka wakati hapo dukani huwa unakuja tu jioni kufunga mahesabu...