Dj Khalid anaimba vitu gani, kila wimbo kashirikishwa

ni hivi,fikiria wewe ni dj kajeba, una wazo la wimbo wako na unamiliki record label inayoitwa 'another hit',huwezi kuimba lakin unaweza kusimamia mchakato mzma mpaka wimbo ukatoka,so unamtafuta maua sama na marioo,mnakubaliana terms za kufanya hyo collabo,wewe ukiwa mmiliki wa wimbo..wao ukiwashirikisha,so wewe ukawa kwenye huo wimbo na kuongea kdogo..'dj kajeba,another hit'...ipo hvyo
Dj kajeba...
 
Wakuu
Katika vitu visivielewi ni pamoja na uimbaji wa msanii huyu wa marekani anayejiita Dj Khalid

Kila nyimbo aliyomo utaambiwa ni wimbo wake kamshirikisha msanii furani

anachokiimba sasa kwenye huo wimbo wake ahahah ni kituko, nyimbo nzima yeye atasikika mwanzo akisema "Dj Khalid.. Another one" na mwisho humalizia hivyo hivyo hapo anakuwa amemaliza

Dj Khalid! another one
Mfuatilie David Guetta, Avicii,Mike Posner...Soma kwa "MAKINI" wanachokifanya!! Then utapata majibu...
THREAD CLOSED
 
maana ya dj khalid ft Jay z
maana yake ni kwamba dj khalid ameimba kwa kushirikiana na Jay z
au mimi ndio sielewi maana ya featuring?
elewa maana ya kushirikiana. Ts all about business. Unaweza hata asitokee kwenye mashairi ya nyimbo ila ikawa Kajeba ft Jay Z.
 
Ile ni biashara na nimakubaliano ya kisheria. Yaani ww unatunga wimbo kisha unatafuta wasanii mnapata kisha wao wanaimba ila wimbo unakuwa wako. Mfano ule wimbo wa Master KG, Jerusalem yule demu aliimba alishilikishwa tu sasa mwenye wimbo ni kusema tu Master KG hapo kamaliza. Mfano mwingine ni wa Dj wa Diamond yeye kila wimbo ni kusema RJ the DJ aaaaaawoooteeee hapo kamaliza, nenda kasikilize ule wimbo ameimba lava lava unaitwa sex.
 
Mtayarishaji wa wimbo/nyimbo ndiye huwa mmiliki wa kwanza kabla ya makubaliano ya ushirikiano au ununuzi. Kwa mataifa ya Afrika hasa Tanzania mentality za wengi huwaona waimbaji ndio wamiliki na kusahau watarishaji bila mirabaha wala credit.

Mfano; Muziki wa kielektroniki Dj/Producer husimamia utayarishaji wa wimbo/nyimbo hadi tamati na hutafuta mtu wa ku-ovelay vocals, makubaliano ndio yanaweza determine kuwa solo, feature au collab X.

Huu ni wimbo Gotlucky - Together lakini sauti sio yake, yeye kafanya utayarishaji, akitia vocals za muimbaji na record label ikifanya usambazaji.




Huu ni wimbo wa Skrillex akimshirikisha J Balvin katika (Audio) na J Balvin x Khaby Lame katika (Video) - In da Ghetto.




Huu ni wimbo wa El Mukuka akimshirikisha Adekunle Gold - Lost




Huu ni wimbo was Felix Jaehn akimshirikisha Jasmine Thompson - Ain't Nobody.





Kuweza kuelewa kwa ufasaha fuatilia muziki wa EDM kwa kuanza na majina kama Avicii, Plastik Fvnk, Basti M, Armin Van Bureen, Nicky Romero, El Mukuka, Micha Moor, Robin Schulz, Alan Walker, David Guetta and co utaelewa kwa uzuri.
 
kama unahisi mzee Bakhresa mwenyewe ndo huwa anaingia mashineni kusaga na kufunga unga wa azam kwny mifuko ili ule unga uitwe ni mali yake, basi una haki ya kuhoji kwanini Dj Khaled haimbi zaidi ya kusema "anaza wani" afu wimbo unakuwa wake
 
afu sio lazima wote tufatilie mziki, fanya mambo mengine mjomba... bora ujiuziage vitumbua maana utamiliki mwenyewe, mziki utakuchanganya sana bro!
ni sawa na ww kumiliki duka wakati hapo dukani huwa unakuja tu jioni kufunga mahesabu...
 
we dogo ni punguani wa head
afu sio lazima wote tufatilie mziki, fanya mambo mengine mjomba... bora ujiuziage vitumbua maana utamiliki mwenyewe, mziki utakuchanganya sana bro!
ni sawa na ww kumiliki duka wakati hapo dukani huwa unakuja tu jioni kufunga mahesabu...
 
Yeye ni mmiliki wa nyimbo anaweza hata asiimbe chochote wakaimba wengine akauza sura tuu...
 
Back
Top Bottom