Mi mwenyewe nimeshangaa DJ's hawana hata uwezo wa ku-produce wajaribu kuwaangalia Armin Van Buuren, Alan Walker, Robin Schulz, DJ Snake, Diplo etcHao ni MaDJ wa nini sasa ama zile takataka wanazofanya kumix mix nyimbo??
Sasa kama wao ni MaDJ wakina David Guetta, na Dimitri Vegas, Timmy Trumpet Hardwell tuwaiteje.
Nimeshangaa sanaMi mwenyewe nimeshangaa DJ's hawana hata uwezo wa ku-produce wajaribu kuwaangalia Armin Van Buuren, Alan Walker, Robin Schulz, DJ Snake, Diplo etc
Sasa hao si ndo Ma DJ ama unatakaje?
Imagine DJ Zero anatoa wimbo kama Diamond Heart?Nimeshangaa sana
HaahaMkuu hawa watofautishe na hao kina Dj Snake,Dj Khaled,Maphorisa,Spinal, bali hawa ni wa redioni mbona nimeelezea kabisa hapo juu??Dah ama kweli wazungu njoo tu mtawale tena..!!
Umevimbiwa nini mkuu ... like seriously !? John umfananishe na hayo makande .. Aise hata kama ndio uzalendo sio wa kihivi aiseKwani John Terry anamzidi nini pawasa wa kilosa?
Hahahahahahaah noma sana.Umevimbiwa nini mkuu ... like seriously !? John umfananishe na hayo makande .. Aise hata kama ndio uzalendo sio wa kihivi aise
Sent using Jamii Forums mobile app
Fantastic analysis broo,,Ma-Dj nao wametofautiana. Unakuta kuna nyanja fulani, Dj fulani yupo vizuri zaidi. Yaan, kama mixing as whole, wengine scratching, wengine hamsha hamsha ya sauti kama fat man scoop...etc.
D Ommy ana "smart" mixing, kama za maeneo tulivu hivi. Kama dj flan hivi mzuri sana ila wa watu wastaarabu. Hata mimi nikitaka dj wa fasta akanimixie manyimbo rock/pop kwa watu weupe hivi, ntamshtua D Ommy. Ndo strength yake hapo.
Mpo sahihi pia katika connections. Ingawa zero ana-connection vile vile (I know).
Dj Zero yupo tofauti kwenye hapo tu. Otherwise, ni Dj talented sana overall. Sema siku hizi ukimsikia unaona kabisa kama ameshachoka; sio hawezi, bali yeye mwenyewe kama hata hakazi. Kama hataki tena hivi. Achukulii serious kiviile.
Mfano mwingine ni kama vile Scratch Designer alivyo mzuri zaidi kwenye (kama jina lake linavyosema) utundu wa kumix na mascratch ya kibabe. Siku nikiwa nna ma-vibe ya kusikiliza mavurugu ya ki-dj, scratch designer kwa mawazo yangu naona hana mpinzani.
Anyways, ni taste tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
AseeMa DJ wapo South Africa huko wakina DJ Athie, DJ Tira, DJ Mdix, DJ Bhepepe, DJ Catzico, DJ Vetkuk etc
Thanks man!Fantastic analysis broo,,
nimeelewa point zako sio
hawa wengine wako
OP alaf wana criticize tu,,