DJ Baffy mkali wa Amapiano Tanzania

DJ Baffy mkali wa Amapiano Tanzania

Leta DJs wote bongo, ila ikija kwenye mixxin za Amapiano hakuna kama DJ Baffy.

Kifupi ndio DJ namba moja wa kutwanga amapiano.

Dondosha amapiano yako uliyoielewa baada ya kuisikia kwa Dj Baffy.
Dj Buraaa wa Wasafi kamwene, ushawahi kumsikia kaz zake ?
 
amapiano ni hatari sana... nazikubali sana.. kama ulivosema kua dondosha ngoma yako kali,

shaya impempe amapiano.. dj mavuthela
Jamani - Sho Madjozi
MFR souls- Amakinikini
kabza de small ft maphorisa- emcimbini


Hizo ni zamoto sana 🔥🔥🔥🔥🔥
 
Dsm hii kuna maisha tofauti kabisa, sehemu inayogongwa amapiano wewe sio life yako na sio mbaya ni hali tu ya maisha.
sio DSM tu tena hapo mtaani kwenu
mm muhenga nimetoka kufurani na wanangu ABBA Group, Boney M, Kabasele ya Mpaya Viba X-mas nk tena Channel 10, na stesheni kibao za TV
lkn amapiano kainama kasukuma sijui manini huko endeleeni
usimlazimishe mtu starehe zako ziwe zangu
 
Jamani - Sho Madjozi
MFR souls- Amakinikini
kabza de small ft maphorisa- emcimbini


Hizo ni zamoto sana [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
pencil -vukuzenzele ft ricky rick
Vigro deep- bundle of joy
mapara A jazz -john vuli gate ft ntosh jaz and colano.


nmeipokea list yko na niko nazishusha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amapiano huu ni aina ya muziki toka south Afrika , una radha fulani kama kwaito hivi kwa south africa mfalme wa muziki huu ni mwanadada sha sha , kibongo bongo msanii aliepita na style ya muziki huu ukabamba ni msanii marioo na nyimbo yake ya mama amina, lile beat linavyogonga ndyo style ya mziki wa amapiano .
Kama Sha Sha ni Mfalme je DJ Kabza mkuu!!!
 
House mi najua ni mimbo kama "dont you worry Child-House mafia" au zile za wazungu kama I took a pill in ibiza
Naelewa unachomaanisha...ila track kama Jerusalema,Limpopo, Umona, Umlilo na Ndibambe ni House ya South Africa..

Hizo sio Amapiano. House ina urudiaji wa wa tempo...

Kuna tofauti ndogosaana kwenye aina hii miziki....

Gqom
Amapiano
House
Kwaito
Bacardi
 
Dj Obza road to Vigro...
John Vuli gate
Amanikiniki
MAngi'dakiwe....

Hawa jamaa wanasuka beats hatari.....natamani maproducer wetu wawe wanatengeneza beat zinazikick kama hizi.
 
Kuna goma la mapara A jazz/ John vulli gate
Kuna mwamba anaitwa Focalistic- ke star
Kuna ngoma linaitwa lorch la maphorisa na kabza de small ni hatr lazma ninyanyuke kucheza zikipigwa
 
Amapiano ni mbunge wa jimbo gani??

vijana mbona mnapenda kutupeleka puta hivi alaaaa
 
Amapiano ndio kwa sasa ndio music unaouza sn barani afrika kwanzia South Africa,Nigeria na Tanzania

Mimi amapiano yng kwa sasa ni KILOFESHE ya Zinoleesky pia Of Lagos ya Mayorkun( ingawa ya zamani kidogo)

Hkn msanii yeyote atakayetamba kwa sasa barani Afrika bila kufanya amapiano

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Sio kwel.. and by the way amapiano haina akili katika upigaji wake. Djs wengi wanazipiga vizuri huyo baffy.. fany ukutane na dj allybi utanielewa
 
Kama Sha Sha ni Mfalme je DJ Kabza mkuu!!!
Au DJ Vigro Deep kijana mdogo kabisa miaka 20 tu ndiyo producer mkali wa hizo beats za Amapiano, sijui atasemaje nae [emoji23]
 
Amapiano ni hybrid ya deep house, jazz na lounge music, ni muziki ulioanza mwaka 2012 ila ulipendwa na kuenea mpaka kua maarufu sana huko SA mwanzoni mwa mwaka 2017 kuja 2018 up to date. Ila huku East Africa na west umeenea sana hivi karibuni.. DJ Maphorisa na Kabza De Small ndiyo watu wa kwanza kabisa kuanza kuunda beats za huu muziki na kuzitumia.
 
Back
Top Bottom