DJ Baffy mkali wa Amapiano Tanzania

DJ Baffy mkali wa Amapiano Tanzania

Amapiano huu ni aina ya muziki toka south Afrika , una radha fulani kama kwaito hivi kwa south africa mfalme wa muziki huu ni mwanadada sha sha , kibongo bongo msanii aliepita na style ya muziki huu ukabamba ni msanii marioo na nyimbo yake ya mama amina, lile beat linavyogonga ndyo style ya mziki wa amapiano .
 
Kwani huyu mleta mada mbona kama anatutukana ?

Yaani anatulazimisha tusikilize amapiano za wasauzi
 
Amapianno inagongwa sehem kama zipi apa dar...mimi napenda sana izo style za jerusalema
Hakuna sehemu kwamba eti huwa wanapiga amapiano pekee..

Sehemu yoyote ni ile tu playlist ya DJ alivyopanga..
Na ikifika session ya kwaito na amapiano anapiga ,inaweza ikawa huo muda anaopiga haupo
 
Hakuna sehemu kwamba eti huwa wanapiga amapiano pekee..

Sehemu yoyote ni ile tu playlist ya DJ alivyopanga..
Na ikifika session ya kwaito na amapiano anapiga ,inaweza ikawa huo muda anaopiga haupo
Sasa yeye mleta mada kasema dar maisha yanatofautiana na zipo sehemu inapigwa it means anamaanisha kuna sehemu za washua ambako playlist zao zimejaa amapiano...huko ndo napotaka kupajua
 
Sasa yeye mleta mada kasema dar maisha yanatofautiana na zipo sehemu inapigwa it means anamaanisha kuna sehemu za washua ambako playlist zao zimejaa amapiano...huko ndo napotaka kupajua
Hakuna kitu kama hicho kaka .
Huyo anajipigia promo tu..

Washua sehemu zao zipo sawa lakini kusema playlist zimejaa amapiano tu ..!

Haiwezekani kunapigwa ngoma za aina nyingi tu ila sio za vurugu kama singeli
 
Back
Top Bottom